Search results

  1. F

    Waraka wa UAMSHO unaochochea machafuko Zanzibar

    mbona huo ni waraka wa uongo
  2. F

    Radio IMAAN - Maoni ya Katiba

    wakati nchi wenyewe ina udini hii
  3. F

    Gazeti la kikiristo la 'Nyakati' ni zaidi ya Annur na Redio Imaan kwa uchochezi

    kwan wewe unamjua mungu wako hebu twambie tumjue km kweli ni mungu au ni binaadamu then kwa akilimyako ndogo unasema ni mungu
  4. F

    Kama nchi haina dini ni hukoBara sio Zanzibar

    wewe u meshawahi kufika znz au unajisemea tu. fika uone
  5. F

    Ni kweli tunahitaji mahakama ya Kadhi na kujiunga na OIC?

    nchi haina dini ila watu wana dini
  6. F

    Kama nchi haina dini ni hukoBara sio Zanzibar

    wewe una akili ndogo sannna umeona wapi mkoa kuungana. rabda ni kuulize nini maana ya muungano? hata huyu nyerere amesema tanganyika imeungana na nchi ya znz au mkoa wa znz?
  7. F

    Muungano wa makampuni ya Oman Kuwekeza shirika la ndege ATCL shs. Bilioni 160

    haya semeni sasa kama tanzania wanataka kuleta waarabu ila wakisaidia znz maneno kibao cjui usultani utarudi, kumbe watu wachoyo ile mbaya
  8. F

    Jussa na ajenda ya siri dhidi ya muungano

    bas kiuhalisia wakaaz wengi wa zanzibar siyo wazanzibar kwa sababu wamechanganya damu kutoka sehemu nyengine lakini yy jusa anaweza kuwa mzamzinar kwa sababu amezaliwa znz na hyo inakubalika world wide km mtoto atazaliwa nchi fulan anaweza kuomba uraia. lakin na hku bara tujiulize kwann wahaya...
Back
Top Bottom