wewe una akili ndogo sannna umeona wapi mkoa kuungana. rabda ni kuulize nini maana ya muungano?
hata huyu nyerere amesema tanganyika imeungana na nchi ya znz au mkoa wa znz?
bas kiuhalisia wakaaz wengi wa zanzibar siyo wazanzibar kwa sababu wamechanganya damu kutoka sehemu nyengine lakini yy jusa anaweza kuwa mzamzinar kwa sababu amezaliwa znz na hyo inakubalika world wide km mtoto atazaliwa nchi fulan anaweza kuomba uraia. lakin na hku bara tujiulize kwann wahaya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.