Sisi kwetu kilombero kuna mbunge anaitwa Abdul mteketa a.k.a pedeshee yaani huyo ni zaidi ya mzigo, jimbo litachukuliwa na cdm na Tumaini letu ni kijana jembe Azizi Himbuka 2015.
Mheshimiwa Rais ametia sahihi Hati ya Dharura (Certificate of Emergency) kufanyika marekebisho kwa Muswada wa Fedha wa mwaka 2013 kuondoa tozo ya kodi kwa laini za simu (SimCard Tax).
SOURCE January Makamba
hapana!
700 milioni naanzia,hyo ni pamoja na mali zilizopo shamabni yaani nyumba,kisima cha maji na genereta la umeme pamoja na miembe ya kisasa,michungwa na minazi
700 milioni naanzia,hyo ni pamoja na mali zilizopo shamabni yaani nyumba,kisima cha maji na genereta la umeme pamoja na miembe ya kisasa,michungwa na minazi
700 milioni naanzia,hyo ni pamoja na mali zilizopo shamabni yaani nyumba,kisima cha maji na genereta la umeme pamoja na miembe ya kisasa,michungwa na minazi
Nauza shamba la ekari hamsini lipo visiga nusu kilomita kutoka barabara kuu,lina miembe ya biashara 300,michungwa na minazi!kuna nyumba kubwa ya kuishi na servant house!liko tambalale na oevu!
Kuna kisima cha pump na matank,Bei ya eneo ni maelewano!
Mawasiliano yangu ni 0787 191 844 naitwa Mdoe!
''Mimi nilijitoa TANU tangu 1973 na sijarudi CCM hadi leo vile najua hoja zangu zitakuwa na uungwaji mkono finyu kwa sasa katika vyombo vya maamuzi, labda pale CCM kikiondolewa madarakani kikabaki na waumini wa kweli wa ujamaa na umajumui wa kiafrika'' HII ni nukuu ya dkt rwaitama.
Nimeitoa...
HAKIKA HII SI YA KUKOSA HATA KIDOGO
MKUTANO WA HADHARA: utaanza na maandamano tokea kimara mwisho,ubungo
maji, shekilango na kuishia jangwani.
SIKU NA SAA: NI Jumamosi tar 21/9/2013 kuanzia saa tatu asubuhi
VIONGOZI: Viongozi wote wa vyama vya siasa vilivyoungana CUF,NCCR na
CHADEMA...
GOOD MOVE!ila publicity ifanywe kila pande sio tu humu kwenye mitandao,sio wote wanaweza kufikiwa kwa njia hii tu nashauri mngetumia na radio na tv pia nahisi itakuwa more powerful!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.