Kama mwenyekiti wako tu, umetujia na videfinition vya kukariri tu halafu unajiita mbobezi! Labda mbobezi wa elimu ya mahusiano ya mataahira ya hapo Lumumba!
Unaongea mambo magumu kama haya unadhani mzee Meko (Juha) anaweza kukuelewa??? Ufahamu wake umeishia kukariri definition ya catalyst na kuongelea wanawake weupe!
Sawa binti, nitaendelea tu kuhesabia watu hela zao maana kwako wewe benki ni kuhesabu hela tu! Angalao mimi nilikua na ujasiri wa kua mwanachama hai wa CHADEMA mpaka jana
Nitamsaidia Chatu na kumpongeza kwa kazi nzuri ya kummeza huyo mwana CCM!
Maisha yangu na familia yangu nimeshayapambania, wala sina dhiki na sitegemei kupata chochote kutoka kwenye chama chochote! Ningekua selfish kama wewe wala nisingekua mwanachama wa chama chochote maana nina kazi nzuri (Nimeajiriwa na moja kati ya banki kubwa kwa muda wa miaka 16) na nina...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.