Je hiyo biashara haifanani na lie ya DECI?kama haifanani auze bidhaa zake atapata faida kama walivyomwelekeza!
Kama inafafana aende haraka ofisini kwa arudishe bidhaa zao wsmpe chake
sio kila mtu anaweza kusoma au anajua hiyo Law of Tort kwa hiyo ilikuwa wajibu wako kumwelimisha ili ajue afanyeje siku nyingine anapokumbana na vitu kama hivyo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.