Wanaanza na screen interview ya typing.kwa kutumia laptop inatakiwa uwe na speed ya kufa mtu na wanaangalia typing accuracy ukipita hiyo ya kwanza ndio mnafuata interview nyingine ...kama huna speed utatumia nusu saa tu then watakushukuru kwa kuhudhuria.wapo vizuri fanyia kazi hilo na best of luck
Kama miezi nane iliyopita nilikutana na Dada mmoja kama kawaida tukaanzisha mahusiano na alikua anakuja sana home yaani getho nilipopanga na kunasehemu nilikua nafanya kazi pia ikitokea contract ikawa imeisha nilimwambia bby mkataba umeisha kule job sasa inabidi nitafute kwingine kabla ya hapo...
Hao wachina inabidi tuwenao makini sana pia ubinafsi tuache watanzania kisa wamekuajiri wanakulipa basi unatetea maslai yao ,,si nzuri kabisa ,,pia vyombo vya dola viwe makini kufuatilia maana inaonekana dhahiri wachina wengi wanafanya biashara tofauti na vibali vyao
msemwa hujaelewa nini ufafanuzi aliotoa Zitto ni kwamba aliwaunganisha wale wasanii wakaunda kampuni yao ,na yeye hana hisa yeyote hapo sasa iweje ahusishwe kuwa lekatutigite co. ni yake ili hali wasanii member wanajulikana na kazi walizofanya na hayo makampuni zinaonekana pamoja na impact...
nadhani mnachoshindwa kumwelewa zitto katumia mda mwingi tangu akiwa kijana na kakutana na vikwanzo vingi hadi hapo alipo
pili kwa mwanasiasa yeyote hua anakuwa na ndoto ya kukuwa zaidi ndani ya organization yake na hata nje utakuwa ni unafiki na kwa mwanasiasa asiejielewa akakwambia hapendi...
kwa kutaka waongezewe posho!???ilihali kunawatu hata sasa hawajui kesho itakuwaje??ni nani aliekuambie alieshiba anamjua aliena na njaa??mmh!ngoja tuone nchi ya asali na maziwa(nchi ya kusadikika)itakavokuwa kama havitoanza visingizio chungu nzima mfano!!kama umefuatiria moja ya wilaya...
inapokuja ukaambiwa uthibitishe kwa kile ulichokuwa unapita na ngoma barabarani unapiga tena mchana kutwa kutangazia umma kuwa flani yuko hivi na hivi,sasa mnapoulizwa maswali mjibu haileti sensi hata kidogo kusema eti umefunga maada tayari kwani kama ni hivyo nibora mgekaanayo hapo ufipa tu na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.