Kila na Kheri taifa stars. Ila sipendi hii game tactics ya huyu coach. Yaani tu defend in numbers ...tunawapa respect sana wamorocco. Tujifunze pressing toka mbele ....tukifanya hivyo naona wataanza kufanya makosa. Vinginevyo ni muda tu tunaweza kupigwa bao.
Vitu vinavyo milikiwa au kundeshwa na serikali ni mzigo. Wahusika hawajali. Binafsi ningependekeza serikali imiliki na ku meneji barabara za mwendokasi...service zinazotumia hizi barabara ..naamanisha mabasi NK...apewe MTU kama Bakhresa.. awe analipa kwa kutumia hio miundombinu ya serikali...
Waarabu hawa wa Morocco hawana nguvu ila Wana akili ya Mpira ..Sisi tuna nguvu hatuna akili ya kucheza mpira. Timu kama ya Senegal ina vyote viwili.
Kocha nae alichemsha...alikuwa anafanya majaribio kwenye mechi muhimu. Mpira ni saikolojia Pia...samatta na msuva wangebadilisha saikolojia...
Kwa kuongezea..ukiendesha Landrover Disco au Range ..utamsahau mjapani na Cruza zake. Hizi gari zipo comfortable kwenye kuendesha, solid, imetulia barabarani na position ya kiti cha dereva ipo vizuri sana. Gari inasimama na haiyumbi. Japokuwa inaweza kuhumili barabara mbaya.....ila huko itaiumiza.
Disco 4 ina injini 3000cc….2700cc nyingi ni Disco 3. Matatizo ya Air suspension yanajulikana. Kama unauwezo badilisha weka coil spring..itakusevu kwenye gharama haswa kama una mpango wa kukaa nalo kwa muda mrefu.
Unazungumzia Mikocheni A... maana kule Mikocheni B kulikuwa na mashamba tulikuwa tunaenda kulima ..mnaondoka nyumbani asubuhi mnarudi jioni. Nimeswaga Ng'ombe sana toka Obey hadi Mikocheni B
Umenikumbusha mbali sana ...hapo mtaa wa Guba..toka morogoro stores unabonyea hadi oysterbay hotel...Nilipita miaka mitatu iliyopita ucku ..mtaa ulikuwa na machangu wakutosha!!
Sehemu za Mikocheni B zilikuwa mikondo ya maji..cku hizi kuna majengo mvua ikinyesha maji hadi ndani na kushakuwa...
Hivi hapa hakuna vifungo vya nyumbani kwa wanasiasa?
Na hao wanaofungwa kwa sababu nyingine (vibaka nk) wangekuwa wanafanya kazi kama kujenga barabara na za kuzalisha kuko huko selo kwa kulipwa kima cha chini ili wakitoka wawe na pesa za kuwasaidia kuanzisha hata vibiashara ....bila ya hivi ni...
Binafsi naona wazungu wanathmini sana utu na uhai wa watu. Hata ukienda hospitali zao kipaumbele kwa miyoyo yao ni kujitahidi binadamu mwenzao apone na asifariki. Ndio maana hata mgonjwa akifariki hospitalini huwa kuna kuwa na majadiliano ya madaktari na manesi kuhusu kama kuna kitu wangeweza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.