ni kiangazi hiki, chakula cha msaada mtapata tu msiwe na hofu hakuna kufa njaa kwani malipo kwa sasa yapo ila ikinyesha tu oooopsi hakuna msaada kwa hayo magazeti uchwara
Binafsi namfahamu Kibanda kwa undani wake na elimu yake, ila huyo Mwambene simjui naomba wenye uelewa kumuhusu watujuze. Nasisitiza Kibanda anajulikana kwa hali ma mali pia ni msomi wa kueleweka na hapendi ku-weed between the lines ili apate mkate. kwa haraka Mwambene ni maji ya shingo. Pole sana.
Napata shida sana kuunganisha yasemwayo kuhusu huyu bw. Inavyoelekea hakuna ajuae ni lini na ni wapi alizaliwa, hivyo nashauri aje jamvini binafsi atuambie yeye nin nani na anafanya nini Tanganyika. Ni wazi kuwa hata ktk mchakato huu wa Katiba mpya ni bora tukawa na madarja ya watu (raia) kwa...
Mzee ongezea yale Mimba(MEMBE) aliyoyasema kuhusu Lajoelina wa Madagasca na waasi wa Libya. Je huyu bwana anaedharau ajira za watu anaweza elezea historia ya kamuhogo kake anapokapata?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.