Hii inatokana na kubadirisha mawaziri kila kukicha, hatuna mawaziri wenye uwezo na maono ya nini kinatakiwa kwa wakati gani. CCM wanabahatisha kuongoza na kusimamia maendeleo ya nchi ni kama hawajui wanachokihitaji
Hawa wezi wa mali za umma hawawezi kuruhusu upatikanaji wa katiba mpya. Wanajua katiba mpya ina vipengele vya kuwashitaki wezi na wauzaji wa mali za umma. Katiba mpya haitaruhusu kuuza mali zetu kama bandari. Katiba mpya hatutaletewa kwenye sahani, tuipiganie kabla hawajatuuza sisi na mali zetu.
Kwa maoni yangu ili haya maandamano yafanikiwe, tafuteni watu maarufu kwa kila mkoa/wilaya watuongoze na maandamano haya yafanyike kwa muda unaofanana nchi nzima ili hawa askari wasitoshe kuzima maandamano. Mapendekezo ya nani awe wapi kuongoza maandamano ni muhimu sana kama tumedhamiria kupata...
Ni sahihi. Lakini najiuliza mwaka jana December bei ilikuwa Us$113 , bei kwa hapa kwetu ilikuwa zaidi ya tsh 3000/ltr. Leo bei huko Duniani imeendelea kushuka na imefikia Us$65. Hii ni karibu nusu ya bei ya December. Najiuliza kwa nini leo hapa kwetu hawajashusha bei hata robo? Achilia mbali...
Wakati yakiuzwa Us$130 bei hapa kwetu ilikuwa zaidi ya tsh 3000, yaliposhuka na kufikia Us$100 hapa kwetu yalishuka kidogo, leo ni zaidi ya mwezi yamekuwa yakishuka kutoka Us$100 hadi Us$65 lakini kwetu hayashuki, kwani wakati ulee yaliposhuka USD haikuathiri thamani yetu ya fedha na hadi sasa...
Hayajashuka ghafla leo, wakati mafuta hapa kwetu yakiuzwa zaidi ya tsh 3000/litre yakiwa Us$100 yamekuwa yakishuka taratibu hadi sasa yanauzwa Us$65 lakini huku kwetu bado bei iko palepale. Yanauzwa zaidi ya tsh 3000/lt
Huko Duniani bei ya mafuta imeshuka sana. Huku kwetu bidhaa nyingi zinazidi kupanda bei kwa sababu nishati ya mafuta inayotumika katika kuzalisha na kusafirisha bidhaa iko juu.
~ EWURA wameshindwa kusimamia bidhaa ya mafuta kushuka bei?
~ Mama anaridhika na kupanda bei ya mafuta inayopandisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.