Huwaga nakuja hapa kusoma taarifa na mijadiliano, huyu Jmushi akiingia basi ni vurugu kushoto mbele tembea utafikiri mgambo, wakati mwingine anajichanganya mwenyewe na kuanza kujijibu. Nafikiri anajaribu kufikisha post 10,000. Babu siyo kwa speed hiyo!!!! unachanganya na hata visivyo. Chombo cha...
Mgaya,
Mbali na ubinafsi wa wabunge wa CCM hata wa upinzani wanakuwa na maslahi yao mbele mara nyingi ndio maana migogoro na kuhama vyama ni kila siku. Mfano wa waziri mkuu wa kenya kuongoza baraza la mawaziri kupiga kura ya kutokuwa na imani na waziri wa fedha ni wa kuigwa. Kwetu sasa hivi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.