Search results

  1. red apple

    MPYA Pen (kalamu) zinazolipuka kama bunduki zinagawiwa na kuuzwa mashuleni

    Kabisa... Inaonekana kabisa ni uzushi.
  2. red apple

    Hivi ladies especially wa Tanzania huwa mnatuchukuliaje wanaume ambao hatuna sauti nzito?

    Hahaha... Kwa nini sauti lakini? Ila sauti ikiwa sio nzito mtu anakuhisi kama upo weak.
  3. red apple

    Tanzania yatajwa kuwa nchi ngumu kufanya biashara kutokana na uwepo wa vikwazo vingi

    Ndio maana tunaishia Ku import zaidi, huku thamani ya pesa yetu inazidi kushuka.
  4. red apple

    Wosia wa Gardner lazima uheshimiwe, wimbo wake wa "Do you want a beer" lazima upigwe msibani

    Gardner aliishi maisha yake!! He was happy...na nahisi mwishoni alijua alifika mwisho na hakuna alichobakisha! Kuna watu wanataka waishi miaka 100 and living in fake life...kujifanya wema Kwa macho ya society na huku wanateseka... what a loss!!! RIP Mwamba!
  5. red apple

    Afya ya akili: Ambaka kuku hadi kufa!

    Well said! Natamani kila mtu angekuelewa.
  6. red apple

    Mlango wa kuzimu uliopo nyumbani

    Kwa hayo uloandika... Basi nimeishaa!!! Maana choon kwangu nakaa masaa mengi. With a serious note...me nadhan watu wengi wana anguka chooni, Kwa sababu ventilation sio kubwa, so automatically Kama ukiwa unatatizo ni rahis kupata madhara coz air supply inakuwa ndogo...so it's easy kuanguka...
  7. red apple

    Kitu gani ulidanganywa na Dalali halafu baadae ukagundua ukweli?

    Zamani Sana maeneo ya Kimara, alinionesha nyumba self na ina mabomba ya maji, akasema Ratiba ya mtaa huo maji yanatoka mara 3 Kwa week, kumbe nyumba haina maji kabisa...yalifungiwa na Dawasco siku nyingi...na choo kinatema!!!!
  8. red apple

    Kupatwa kwa jua Jumatatu 8 Aprili 2024

    Natamani Sana ningepata nafasi ya kushuhudia!! Hivi hutokea kila baada ya muda gani??
  9. red apple

    Mwenye soft copy ya riwaya ya mkimbizi

    Jamani nakipataje???
  10. red apple

    Picha yangu ya Siku 2024

    Picha imejaa maisha! Nzuri Sana.
  11. red apple

    Rafiki yangu kaharibu gari langu

    Unamuachiaje mtu gari yako? Na funguo juu?? Si Bora hata upeleke kwenye parking areas .
  12. red apple

    Mwenye soft copy ya riwaya ya mkimbizi

    Alikuwa ni muandishi mzuri Sana!! Natamani siku apate hamu amalizie .
  13. red apple

    Magonjwa ya Koo, Tumbo, Figo na Ini husababisha mdomo kunuka

    Ila wabongo wengi wananuka midomo. Serikali iweke mtaala wa jinsi ya kutunza kinywa!.
  14. red apple

    Chumvi imeadimika mitaani

    Hahah wewe bwana!!
  15. red apple

    Mchakato wa kuanzisha somo jipya la Historia ya Tanzania alioyoagiza Hayati Magufuli umeishia wapi?

    Hapo sijajua..maana dogo ndo yupo kwenye Ile system ya kuishia darasa la sita. Hata masomo anayosoma ni tofauti na mwenzie wa darasa la 4. Maybe wao ndo watapanda nalo....
  16. red apple

    Mchakato wa kuanzisha somo jipya la Historia ya Tanzania alioyoagiza Hayati Magufuli umeishia wapi?

    Ni jipya Wanasoma Kwa Kiswahili. wameanza mwaka huu.
  17. red apple

    Mchakato wa kuanzisha somo jipya la Historia ya Tanzania alioyoagiza Hayati Magufuli umeishia wapi?

    Binti yangu analisoma, Yupo darasa la tatu, na ana enjoy Sana...kila wakisoma lazima aje kunihadithia!! Nimeona impact yake...anatamanii Sana kujua zaidi juu ya Tanzania, nadhani kama likiendelea kufundishwa vizuri tutajenga Taifa la wazalendo haswaa!
  18. red apple

    Leo ni siku ya furaha duniani. Je wewe unaiazimishaje siku ya leo?

    Shida ni kuwa furaha it's too subjective. Na kilele cha furaha...life span yake ni fupi Sana.. Lakini tunajifunza kuwa grateful no matter what!
Back
Top Bottom