Du! pole kaka. haya ndo yanaitwa masahibu! Hilo ndo tatizo la wanawake wengi. Samahani kusema hivyo kwani si wote lakini wengi. ukitaka kuwaridhisha wanawake kwa kila wanachotaka lazima uishie na dissapointment lkn hilo linawatokea wengi. piga moyo konde. fungua ukurasa mpya
Unajua kidogo niishie njiani maana nilikuwa nasoma tu sifikiii nukta au aya nyingine. Kama si utamu wa hadithi Hakika nisingemaliza.
BASI MI NAMSHAURI SHEM AACHE TU HUYO MTOTO AKAE NA MAMA YAKE ILA KABLA YA YOTE WAKAPIME DNA KWANZA!
Hilo tunda, Tunda Ganii?
Mbona una, Sifia ninii?
Kama tunda, kuna mengii.
Hilo tunda, Tunda ganii?
Kwako tunda, ni la ninii?
hilo tunda, ni la ninii?
Je mimi nile niniii?
Kama tunda, Siajaonaa!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.