Hakika msemo wa Kiswahili "Usiolijua ni sawa na usiku wa giza".
Mshipa ya shingo inawatoka kwa kuona watu wakijipanga kuchukua dola. Waacheni CHADEMA wapange yao, wachaguane, waimarishe Chama chao na hatimaye washinde Chaguzi. Hilo ndio lengo la kuwa Chama cha siasa.
CHADEMA haiwezi kufa kwa Dr Slaa kujiunga na ACT, Alitumiwa na Magamba ktk Uchaguzi Mkuu bila mafanikio, itakuwa kwa ACT ?.
Mama huyu mtoa hoja namshauri aendelee kula mhogo huko Ugaibuni, muda wake umeshapita, aache wenye nia ya kujenga Chama wafanye kazi yao.
Edo ndio kwanza anaanza kupasha maungo moto kwa ajili ya mechi ijayo.
John kila uchao hali inazidi kubadilika na anashusha morali ya wachezaji wa timu yake.
Angalia mapato yanaendelea kushuka. Hebu hiulize nondo zilizotolewa wa CAG kwa John . Tafajari Bunge limeruhusu kamati zake kufanya...
Serikali inahangaika kusema watu wameficha sukari ndio sababu ya kuadimika wakati hiyo inayodaiwa kifichwa hata siku saba haitoshelezi mahitaji.
Najiuliza watatuambia nini baada ya hiyo kuiisha ?.
CCM ni ile ile
Tulishaeleza tangu awali kuwa Pole pole anatembea na ahadi kichwani.
Namsubiri aanze kuikana Rasimu ya Katiba aliyoshiriki kuiandika na kuitetea kwa nguvu zote na kukubaliana na Katiba Pendekezi ambayo alikuwa anaipinga hadharani.
Waswahili walinena "Uzao wa kenge hauwezi kuwa Mamba asilani"
Mtoa mada umehitahidi sana kujaribu kuzuga wafuatiliaji.
Miaka mitano bado vifaa havijatengenezwa na mkataba bado unapumua, hii ulitakiwa kuwaeleza watoto wanaosoma Chekechea.
CCM ni wale wale. Uzao wa Panya siku zote hauwezi kuacha asili yao ya kuiba.
Hebu jiulize mbona Mhe Mtumbua Majipu...
Sakata hili linataka utulivu ktk kulijadili.
Najiuliza bila kupata majibu, kama ni kuwajibishwa kwa udanganyifu wa Wafanyakazi hewa ni maafisa walioenda kufanya uhakiki wa watumishi au aliyeletewa taarifa ya uhakiki huo ?.
Hongera sana mtoa mada. Ukweli ndio huo, ila naelewa kuwa wapo ambao watajaribu kutafuta sababu za kuponda hoja hiyo.
Serikali hii ni ya Kushtukiza na kutishana.
Mfano hai umetokea ktk Shule moja ya msingi iliyopo ktk Wilaya ya Kibaha ambapo Mwl mkuu ameshusha wadhifa kwa sababu hakuandika...
Mhe Rais, amekuwa akieleza mara kwa mara kuwa hatawavumilia wateule wake ambao watashiriki ktk ufisadi
Naomba kushauri kuwa Mhe huyu anatakiwa awajibishwe haraka sana, vinginevyo tutaamini kuwa ile Kauli yetu ya Kizaramo "UKIWAONA KAMA WATU".
Mhe Rais Jipu kubwa hilo, unachotakiwa si...
Unasemaje kiatu kimempwaya.
Katibu Mkuu wa Chadema na Chadema yenyewe ndio yenye wajibu wa kulinganisha nani zaidi ktk utekelezaji wa majukumu ya nafasi hiyo
Nakushauri tafuta kazi ya kufanya na kama huna nenda Kijijini ukatekeleze kauli ya Mhe Rais ya "Watu wakalime tu"
Ama kweli duniani kuna mengi
Magufuli ameenda Chato kupumzika na kukutana na marafiki zake na kupata kero za wanafunzi za ukosefu wa madawati na vitabu ktk Jimbo aliloliongoza kwa vipindi vitatu bila kutatua kero hizo
Sasa mtoa mada anasema ameifuta CHADEMA, nashindwa kuamini kama aliota au...
Nashindwa kuelewa ktk hili. Mhe Rais amebadilisha wateule wote aliowakuta ktk Mamlaka ya Bandari na kuwapa vyeo aliyeona ni watu safi wasio na mawaa. Aidha Mhe Rais alibainisha kuwa yoyote atakayeenda kinyume naye atamwajibisha mara moja.
Sasa anapotueleza wananchi juu ya wizi huo bila kuchukua...
Mtahangaika sana. Ukweli unajulikana kuwa Mhe Lowassa akitoa ushauri na ukakataliwa na kama mnaamini ana kesi mpelekeni Mahakamani mtaona kilichomtoa Kenge Manyoya
Ukweli unabaki pale pale. Mnabaka Demokrasia kwa kuamini kuwa hamtatoa nchi kwa karatasi, sasa kama hayo ndio yaliyojaa kichwani mwenu kwa nini mnaitisha Uchaguzi wa nini ?. Mimi naunga mkono msimamo wa nchi wahisani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.