Nilikuwa sitaki kuandika kitu leo humu.
Umenikumbusha kitu hapa nimechaka sana.
Siku moja nilikuwa Iringa shule ya secondari Malangali. Sasa kule ni baridi sana. Jioni mazoezini bwana. Nilikuwa na kipisi chake. Sasa tunakaa wengi pamoja tunaangalia wanaocheza mpira. Kitu jua ndio linazama...
Naomba kuwa tpgauti nawe kwa 10000000%
Nafsi ninini? Nafsi ni wewe mwenyewe. Kwa mujibu wa biblia, ni kwamba Mungu alimuumba mwanadamu akiwa mfu.
Kisha akampulizia pumzi ndipo mtu akawa hai. Kitendo cha kuwa mtu ndio nafsi. Mtu hana nafsi bali mtu ni nafsi. Sasa mtu atatokaje kwa mtu?
Ndoto...
Nafsi wewe mwenyewe.
Ukisoma kitabu kiitwacho Biblia, sehemu ya mwanzo sura ya pili mstali w saba. Mwanzo 2.7 pameeleza kuwa Baada ya kuumbwa binadamu akapuliziwa pimzi. Ndipo binadam akawa nafsi hai.
Ieleweke wazi kwamba binadamu hana nafsi, hivyo usisumbuke kuitafuta nafsi mwilini mwa...
Mtoa uzi fanya jambo moja. Hebu kaa na watu wanaoamini imani tofauti na yako kisha ruhusu wakupe challange juu ya unachoamini kisha wajibu kwa namna unavyojua na kuelewa.. Kisha nawe upate muda wa kuwachallange wao kwa uelewa wako ili wakujibu.
Ktk sherehe ya birthday ya mmoja wa rafiki yangu...
Simba ni timu ya mpira miguu.... Mashairi si mahali pake..
Nilitarajia Haji akitamka timu imeanza kumiliki uwanja wske lini?
Suti! Kwani nyie bwana harusi?
Basi! Kwani nyie MUWADA?
Jengo? Nyie NHC?
Ulaya? Nyie wazamiaji?
Wa kimataifa? Naomba tskwimu lini Simba wamepita na kombe airport...
Sasa na wewe ni mwenyenyumba. Vipi ushakuwa mshirikina?
Tuvutie uzi juu ya
Saa ngapi mnavunjaga nazi?
Saa ngapi unakwendaga kujisaidia kitandani kwa wapangaji wako?
Labda uwe umejenga nje ya Dar.
Nasubiri..
Ni kweli uislam ulianzishwa na Vatican. Lkn sio forum ya dini hii. Lkn kama mtu atahitaji kujua sana juu hili anaweza kufuatilia vitabu hasa vya Mkweli mwaminifu. Au kuna vikundi vinakuwaga pale shule ya uhuru kila jioni vinajadiliana.
Siku moja nilimkuta dogo mmoja anaitwa Zebedayo aliichambua...
Mwanzo nilishasema kuwa freemasons walikuwepo kabla ya ukristo ma uislam. Wakati huo dini ilikuwa ni imani moja kuelekea Mungu.
Freemasons walianzisha mpango wa kuiteka dunia wakipinga imani ya dunia kuelekea Mungu.
Freemasons wanatumia akili sana. Ndipo ukaanzishwa mpango dini badala ya...
Kama Mungu hayupo hebu tujibu haya.
1. Wewe umetoka wapi? Na huyo alokuleta ametoka wapi?
2, nini mwanzo wa mwanzo?
3. Baada ya maisha haya utakwenda wapi na utakuwa unafanya nini? Mpaka lini? Kivipi ikiwa utakuwa umeukiwa....
Moja ya amri za Mungu ni kutosujudia sanam.. Ktk uislam kuna mwezi na nyota. Na amri inasema usijifanyie kitu chochote cha kufanana kilichopo angana wala ardhini kisha ukakisujudia.
Jiulize mbele ya kibla ya msikiti kuna alama gani? Na waliomo ndani husujudu kuelekea sanamu hizo au lahh...
Dah natamani niweke post juu ya Freemason (wajenzi huru)
Hii post inaeleza familia 13 za free mason.
Ngoja nichangie dondoo kisha siku nitapost kirefu.
Mtoa post hii yupo sahihi sana juu ya free mason na inaelekea anaufahamu fln kuelekea freemason.
Kwanza tambueni free mason walikuwepo...
tatizo hawa jamaa wanadhani kila mteja wao ni mjinga fln, wana boa sana.... ngoja mii nawaangalia wakirudia NITAHAKIKISHA WANASIMAMA MAHAKAMANI wezi sana.. na sms zao sizifuti nitaziweka, wataingia tu kwenye 18,,,,
kuna kitu najifunza hapa toka mitandao ya nje kisha niaangalia TCRA wanasemaje...
imagine upo na mgonjwa hospitali, imambo kibao yanatakiwa,,, una simu 2 mkononi unaambua kujiunga kwa simu moja ili uwasiliane na ndg kisha kampuni ya simu inakutapeli ukiwa kwenye kona mbaya kama hiyo. ambapo kila sh, inakuwa na kazi yake, so unaamua kuweka vocha kwenye ,tandao mwingine...
Ninatambua kwamba tigo ni kampuni inayojiendesha kibiashara kwa lengo la kupata faida kihalali.
Ninatambua kwamba mimi ni mtanzania ninauhuru wa kuchagua niwe mteja wa kampuni gani ya mawasiliano miongoni mwa makampuni yaliyopo Tanzania....
MWANZO
nimekuwa mteja wa kampuni hii muda mrefu sana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.