Visa vya mapenzi na UKIMWI ndo unafanya watu kujinyonga sana.
Simlaumu sana kwasababu hata mimi nilikaribia kujiua mara baada ya my mume kuleta UKIMWI nyumbani lakin sasahivi safi na ARV'S zangu maisha yanakwenda.
Yaan wewe na certificate yako etii unaomba kufundisha O level uwezo huo huna labda ungekuwa angalau na A level knowledge ungekuwa umekamilika kwa o level lakin kwa sasa bado sana ubodaboda unakufaa sana tuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.