Habari wadau,ninatoa kozi za computer applications kama Word,excel etc,pamoja computer hardware,mtindo wa ufundishaji ni private,hivyo nakufuata mahali ulipo,kwa atayehitaji nitafute kwa namba hii 0714430096.
Mkuu,kwa mujibu wa robert kiyosaki,kuna aina tatu za uwekezaji,moja ni katika biashara yako mwenyewe,yoyote ile,mbili ni katika real estate,yaani nyumba,viwanja nk,tatu ni katika hizo mutual funds,ambazo mleta mada ndo anataka kujua zaidi.
Investment yoyote inaweza kukutoa kwny umaskini,lakini...
Usisubiri kupata pesa yote kwa mkupuo,kama una chanzo cha pesa cha kawaida jaribu kuweka si chini ya asilimia 10 kila upatapo pesa,haba na haba hujaza kibaba,usijali itakuchukua muda muhimu usipoteze focus,au kama hauna fanya kama alivyokushauri Lyamber halafu uanze kutenga pesa kwa ajili ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.