Habari,
Naomba ushauri kuhusiana na magodoro yanayobonyea kwa kati mana nimenunua godoro halijamaliza hata mwezi na sasa hivi linabonyea kwa sana hapa kati na ni kama nimelala kwenye mtumbwi.
Naomba ushauri jinsi ya kutatua hii hali kwa waliopitia hii hali.
Ahsante
Ningeshauri kama ingependeza kungekua na usafiri wa kushare ambao watu wanaotoka Kimara mpaka Posta, Gongo la mboto mpaka Posta na Bunju mpaka Posta na kama gari ya watu watano then mnachangia hata elfu 5 na inakua ni nzuri zaidi
Habari wana Jf,
Je kuna mtu anatoa huduma ya usafiri kutoka Bunju au Boko kila J3 mpaka Ijumaa kuelekea Posta au Upanga???
If yes then gharama ya usafiri ikoje?
Tusaidiane ili tuwahi makazini
Habarini,
Naomba ushauri kuhusiana na biashara ya kukodisha turubai, je ni size ipi ambayo inapendwa sana katika kukodishwa (4m kwa 10m au 6m kwa 10m au 8m kwa 10m)?
Material ipi ya turubai uwa inadumu, je ni pvc ikiwa na high strength polyster au pe tarps?
Nitashukuru kwa msaada wenu wataalam
Habari,
Naomba msaada wa kufahamishwa kampuni inayoweza kusafirisha mzigo kutoka China kwa uhakika na kwa gharama nafuu. Ni mashine mbili ambazo zinafit kwenye 1 CBM hivo ingependeza kufahamishwa bei per CBM.
Ahsante
Heshima Kwenu
Mwenye kujua lodges au gesti nzuri zilizopo Geita mjini na bei yake nitashukuru.
Pia nitashukuru msaada wa namba za hiyo lodge kama mnazo.
Ahsante
Ushauri wangu kwako na wengine wote ni kua ukipewa dawa yoyote Hospitalini, kama una nafasi jaribu kugoogle upate picha kama hiyo dawa inaendana na tatizo lako
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.