Dwasco kwa kweli hamtutendei haki ni kwanini mmewaunganishia wakazi wa kwembe vijijini kule malamba mawili hamkufika. na kuna tetesi ya kuwa sisis wa kwembe mpakani tunahesabiwa kuwa maji yameshaunganishwa kote. tunataka kujua ilikuwaje mkaunganisha maji wachache na wengine tumekosa...
Kama alivosema mkuu Eiyer ile picha ni mawazo tu ya mtu binafsi tena mtu aliyekua mpagani na inasemekana alikua gay so alitengwa na dini na ndio maana alitaka sana kupotosha watu katika michoro yake. Lakini pia hii tafsiri ya kua kwenye ile picha kuna mwanamke ni ya Dan Brown mtunzi wa kitabu...
Nimesoma mahali.. uwanja ulikua unatumika na ilikua taa zote zinazimwa na kuwashwa tu pale inapotokea ndege iliyopewa ruhusa kutua hapo. Taa zinawashwa then ndege husika ikishapita kwenye 'run way'' taa zile zinazimwa tena. Sasa hawa mabwana wa Israel walicheza na ratiba ya ndege fulani ivi...
Habari TANESCO ... Umeme Kigamboni umekua kero kwa miezi ya hivi karibuni. Umeme unakatika muda mrefu sana na pia ukirudi unacheza cheza au unakua mdogo then unakatika tena.
Sikumbuki siku ambayo nimekaa na umeme bila kukatwa kwa siku nzima katika miezi ya April, May na June...
Shida ni hao ATCL wenyewe wanakua kimya sana mpaka watu wanaongea ongea ovyo na kumtumia huyo 'binti' picha za ushahidi... Kwani wangetoa maelezo kama haya tusingeelewa. Hata uswahilni kama una gari moja nalo likapata matatizo ukalilaza garage kwa muda ukaanza kubanana na sisi kwenye daladala...
Ila Bill Clinton alishatoaga hii order na mwisho ni September tu hapo. Mara tunasikia paaap yule director wa CIA aliyetumbuliwa ndiye alikua MKUU wa mission nzima.
Mkuu The bold nilisikia kua mwaka huu ndio ilikua mwisho wa hii ishu ya Kennedy kua SIRI na CIA wanatakiwa watoe ukweli wote ulivokua, vipi walishaachia au wameongezewa muda?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.