Ninaomba kazi ya afisa mkopo, nimemaliza diploma in law na ninauzoefu wa miaka minne katika kazi ya afisa mikopo, nimeomba kazi mara nyingi sijapata. Tafadhali mwenye shida ya afisa mikopo nipo hapa. kwa mawasiliano 0766 969780
"Vijana, kumbe tukithubutu tunaweza! Wakati nikiwa nasubiri ajira rasmi nikaona si vema kukaa nyumbani idle, nikakodisha shamba la takribani hekari 12 maeneo ya huku kwetu Tanga, lakini kwasababu naanza nikatumia hekari 08 tu kwa kupanda mahindi, nashukuru kwamba karibu asilimia 99 ya sehemu...
jamani nyie chakarika mbona kimya hatuelewi au mlikuwa mnatudanganya
NAFASI YA KAZI: MAAFISA MKOPO.
Chakarika Credit Facility ni taasisi inayotoa mikopo midogo midogo iliyopo maghorofa ya Urafiki Shekilango mkabala na Royal College inatangaza nafasi ya kazi ya maafisa mikopo. Sifa...
"Ngoja nijaribu...
Kwa wale wenye sura kama chapati tegemea yafuatayo; siku zote utaliwa sambamba na maharage, chai ya rangi...ukithaminiwa sana utaliwa sambamba na mchemsho na hutafanywa staftahi.
Pia wapo watakaojitahidi wakuchome/kaanga kwenye kikaangio kisichoshika moto ili usibabuke sana...
dah! pole sana umenikumbusha machungu ni juzi tu ucku jumapili kuamkia jumatatu nilipolia kama mtoto kwa aliyekuwa mchumba angu kuniambia ametoa mahali kwa msichana mwingine...... nililia sana ila kwa uweza wa Mungu sasa nipo ok kbs na inamuomba Mungu kila cku nimsahau huyo mkaka. pole sana mdada
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.