Na hili pia liwe fundisho kwa wengine hapa tuwe na tabia za kusifia watu kwa mazuri yao (au kuonya kwa mabaya yao) kabla hawajaaga dunia. Unaonaje Pascal Mayalla?
Comparatively, Congo DRC ni mshirika muhimu kiuchumi kuliko Rwanda. Hivyo Congo DRC tulivu ni muhimu kwa maslahi ya Tanzania kiuchumi na kijamii. Kwa Rwanda ni kinyume chake. Congo DRC yenye machafuko ni muafaka kwa Rwanda kufanya looting.
Ukweli una tabia ya kukawia kufika unakokwenda lakini lazima ufike tu..Nimemkumbuka ndugu yangu Mohamed Mtoi
Shame on CCM, shame on Jeshi la Polisi, shame on John Tendwa
Say NO to mnafiki Sitta. Kama anataka kuing'oa CCM ajitoe mapema na sio asubiri yeye au kundi lake kutoswa ndo ajifanye kuikataa CCM. CCM haikubaliki toka kitambo, hivyo afanye maamuzi mapema kwa kuchagua upande.
Mkuu hii si inawasaidia wale ambao hawawezi kukutana na mabango au kusikia matangazo ya huduma zao za mpesa? Mi nadhani haina shida kwa kuwa inakuja simultaneously na ile ya 'ku-confirm' transaction. Ningewamaindi kama inakuja sms ya promo kwanza bila ya ile ya confirmation ya muhamala wangu
Kwani kuna mtanzania yeyote anayekatazwa kuishi eneo lingine ambalo sio la asili yake? Kwa nini kwa wamasai iwe nongwa? Na kama kuna sheria wamevunja kwa nini wasipelekwe kwenye vyombo husika?
Wakuu hii inasikitisha sana. Tumefika mahali nchi yetu inahitaji overhauling kuanzia kwa mkuu wa nchi mpaka kwa mfagizi. Tujenge utamaduni wa kufanya kazi kwa bidii na kuwajibika.
NB: Kila kifo cha mgonjwa hospitali kingekuwa kinachunguzwa kwa kina, madokta na manesi wengi wangeingia matatani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.