Tanesco ni kama watabiri wa nyota maana kila siku wanakuja na story mpya.
Mie nieisha choka nao nymbani kwangu nimeweka solar kuondokana na hizi sarakasi za tanesco.
Miaka 50 ya UHURU bado tuanishi kama wanyama wa porini.
Kwa wakazi wa mwanza hali ya kivuko cha busisi kwenda sengerema hali inazidi kua mbaya badala ya kuboreka.
Uvushaji wa abiria hapa na magari ni kero sana.
Hiki ni kivuko cha Serikali tulitegemea hali ingekua nzuri hasa baada ya barabara ya kwenda geita hadi bukoba kuwa lami imefanya magari...
Mmm afazali umefafanua hii habari haikua nzuri hata kidogo kwenye nyanja ya elimu.
Na hawa waandishi wetu wajifunze kuandika habari zenye uwiano na data wanazopewa sio kuongeza chmvi kama hii
Wallet ukitaka kuijua asali mbichi ambayo haijachanganywa chukua karatasi nyeupe size ya A4 mwaga asli juu yake kama kijiko kimoja au viwili vya chakula kaa muda wa dakika mbili.
Kama iyo karatasi haijaloana kwa chini basi hiyo asali ni mbichi.
Njia nyengine ni kutumia njiti ya kiberiti...
Kwenye magazeti ya leo yamemnukuu Lukuvi akisema Lissu ndio anayekwamisha mchakato wa katiba na kama Lissu atatumia ushawishi wake basi katiba mpya itapatikana.
Swali la kujiuliza je ni kweli Lukuvi anaamini ivyo au anajaribu kuamisha tatizo. Hivi kweli Lissu peke yake anaweza kuwa ndio...
Wakuu heshima mbele
Naomba msaada nimeagiza gari kutoka japan nissan x trail garama zake mpaka kufika dar yaani cif to dar ni million 7 na nusu gari ni ya mwaka 2004 kwa wale wataalamu wa kodi hizi za uchakavu je ni kweli kodi inaweza kuzidi hiyo amount niliyotumia kuagiza hilo gari? Kwa...
Najua unakokwenda utaniambia benefiti watu wanazopta ni yale matibabu na zile nyumba ambazo hadi uwe na milioni kazaa bank ndio upate.
Mimi siko huko mfano mdogo tu nenda hata hapo Namibia tu au Africa ya kusini wafanyakazi wa kawaida wanavoweza kupata mikopo ya nyumba kwa utaratibu ambao ni...
Umeisha sema nchi zilizondelea kwani Tanzania ni moja ya hizo nchi fanya upembuzi kwanza unapojibu hoja.
Hizo nchi unazozisema wafanyakazi wanabefeiti kibao na hiyo mifuko na hata ajira zao pia.
Sio sie hapa ajira mkononi hujui kesho itakuaje.
Salam wanajamvi
Nimesoma gaazeti la citezen zito zuberi kabwe anapinga wanachama kuchukua pesa zao kwenye mifuko ya hifazi ya jamii, sababu kubwa kwake ni kufilisika kwa hii mifuko pindi wanachama watakapochukua pesa zao.
Zito anashindwa kuelewa kuwa hizo pesa ni za wanachama na wana haki ya...
Mi kinachonishangaza mpaka sasa haukna kiongozi yeyote wa serikali ya umoja wa kitaifa ya zanzibar aliyekemea jambo hili nimesoma magazeti kadhaa ya leo sijapata kuona kauli zao.
Hili ni jambo kubwa sana mambo huwa yanaanza ivi ivi taratibu mwisho wake tutaiona somali au sudan ya tanzania. Hii...
Mi we ndo naweza kukuita mzushi kwani Unguja tijuayo sio ndogo kiasi hicho cha wewe kujua wabara wote wanaoishi huko. Je kama huyo mtu kashambuliwa maeneo ya bububu!au kule Gando we umefika kuwauliza watu wote wabara waishio huko acha kuharibu mada vurugu zimetokea na inawezekana pia watu...
Mkuu haiwezekani kumbuka ili ukutane na hawa viongozi hasa kwenye safari lazima uwe unapita VIP bro sasa jiulize boban na nsajigwa wanapita VIP? Kumbuka Beckham anapita VIP kwa title zake mkuu, hapo walikutana na JK VIP.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.