Mie nilienda tukiwa group la watu wengi Ivo sikujua malazi kwa mtu mmoja mmoja ilikua kiasi gani Ila kulikua na option kwa ambao walikua couple kuongeza elfu 20 kulala kwenye bandas wakiwa couple.
Nimefurahi sana kiongozi mana mi napenda sana utalii wa ndani na nilishaenda mbuga ya Ruaha. Kwenye safari yangu nakumbuka kutoka Iringa mjini ad mbuga ya Ruaha palipo ndani kabisa ya mbuga kwenye ofisi zao na nyumba za makazi nilitumia masaa kama 5 hivi sababu kubwa ni barabara ya kwenda uko ni...
Nashangaa kinacholalamikiwa ni nini, tetesi za izo ni kawaida kwa timu yoyote duniani na viongozi wa timu husika hutolea ufafanuzi na sio kukashifu watoa taarifa. Unataka timu yako isisemwe na mabaya na tetesi, wewe kama nani?
Yanga pia inasemwa mara hawajalipwa mishahara wachezaji mara Mukoko...
Kama inampa pesa, mafanikio na kuwasaidia ndugu zake mie sioni tatizo. Ili mradi havunji sheria za nchi na anapata mafanikio kupitia anachofanya mie sioni tatizo.
Changamoto ya binadamu hawapendi mwenzie apate na apige hatua kimaisha. Akiwa hajafanikiwa wanajifanya wanampa moyo ila akifanikiwa hao hao wanamponda. Mimi nafurahi sana mtu akipiga mafanikio tena namuombea azidi fanikiwa zaidi mana atawasaidia ata ndugu, jamaa na marafiki.
Tatizo hukufanya vizuri kwenye usaili Ila wengi mno tumepata ajira kupitia ajira portal bila makando kando. Kiukweli wanafanya kazi nzuri sana utumishi na wanahitaji pongezi.
Namuomba MUNGU amlaze roho yake mahali pema peponi Elias Kihombo na Mohamed Ngaola. Hakika wameacha pengo kubwa kwa wanafunzi wa sasa lakini naamini materials yao yatakumbukwa vizazi na vizazi. Mimi nna notes zote nilizoandika za Mudy Physics na Hidden kuanzia form 3 ad 4 toka mwaka 2007 na ad...
Angalia maisha yako kiongozi, angalia namna ya kuwasaidia wazazi na watoto kama unao upate baraka nyingi duniani. Umiza kichwa kusaidia hao Ila sio kuumiza kichwa kisa mapenzi.
Mie kwa elimu yangu sio mtu sahihi kwako labda nachoweza kukusaidia ni ninayo recommendation letter moja nilioandikiwa na Mkufunzi wangu wa chuo ni Prof, labda nifute details zake na zangu nkutumie ufanye editing
Hapana mkuu lakini tuwe tunasoma maelezo alafu palipokua na utata ni vizuri kuulizia. Ila kuulizia palipo andikwa kabisa scholarship ni lazime iwe ndani ya UK alafu mtu anauliza he nkipata chuo Ujerumani?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.