Habari za leo wana JF.
Naomba msaada wa maelekezo/maelezo kuhusu mfuko wa UTTS.
Awali ya yote nimejaribu kusoma kwenye tovuti yào ya utts nikiri sikuweza kupata maarifa yakutosha.
Mwenye uelewa kuhusu hii mifuko anisaidie.
Ushauri napokea pia
Thanks
hellow brother, pole kwa kuuguza, nenda muhimbili kitengo cha watoto muulize doctor kissenge, he is a very good doctor wa watoto, kwanza ni nadra kumpa mtoto dawa, huwa anaangalia chanzo, na kama akimuandikia mtoto dawa mfn sindano jiandae kufuatiliwa, anajali sana watoto na kiukweli anajua huwa...
Huduma ya kung'arisha meno haipo kwenye bima, tafadhali rekebisha hapo juu. Tena bima yenyewe NAJALI tafadhali Sana punguza fix bro.
Hizo bima za bundles zinachangamoto nyingi ya dawa!
Huyu sister yupo na jina USA, ni celebrity, usifikirie katika jalalani. Kaigiza movie kibao na series pia. Mcheki kwenye SUITS, usidhani katokea kazuramimba . kumbuka huyo mwanamfalme mwenyewe kaondoka kwenye ufalme na urithi
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa nyongeza tu, Mungu huwa hashughuliki na mpumbavu, yani akupe akili halafu kwa uzembe wako utumie kichaka cha dini kumuomba akuepushe na balaa ambalo wewe hukuwa makini ! Hakuna Mungu wa namna hiyo na kama yupo basi asingetupa akili na ufahamu , tungekuwa na vichwa vyenye akili mufilisi kama...
Hello
Hivi karibuni kumezuka ugonjwa wa Corona huko
China mainland ambao umekuwa tishio kwa dunia
sasa. Nchi nyingi sasa ikiwemo India ambayo tumekuwa Tukienda tibiwa kwa magonjwa ambayo huko tiba imeshindikna wameamua kuzuia watu wote wanao tokea China kuingia nchini mwao kwa kuwa wameshaiona...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.