Mkuu ungeuliza kwanza mtu alietembea, oa au kuzaa na binamu yake katika mila zenu adhabu yake au kafara yake ni nini? Au anatakiwa afanye nini kuvunja hiyo miko? Pia ungejaribu kufanya tafiti watu wa zamani wa ukoo wenu waliowahi kukumbana na scenario hiyo walifanywa ni nini na wazee wa ukoo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.