Tumieni busara kubishana bila uelewa hakuwasaidii chochote, IGP maana yake ni Inspector General of Police, na CDF maana yake ni Chief of Defence Forces, nafikiri mtajua kipi ni kipi?
Hawezi kuwa wa kawaida hata siku moja kwa sababu kuwa Rais tu sio kitendo cha kawaida toka uhuru tuna Marais wangapi? Pili ujue kichwani kwako jamaa amezaliwa siku moja na Putin, na wote ni Marais, kitakuwa kichwa cha kawaida?
Hii mitambo ya kufua Umeme naona imekuwa laana kwa Tanzania, Inabidi itaifishwe tu, TANESCO amiliki yote sababu iliingia kwa njia za panya na pesa zake hazitaacha kutoka kwa njia za panya.
Hawana makosa, ila Mkuu wa Chuo CCP, ndio anatakiwa awajibishwe kwa kutoa Askari wasio iva, hawajui maana ya jeshi wala dola, nguo ya askari huwakilisha dola, hivyo hawajui maana ya kazi yao na inchi waliyo apa kuifia, ila kwa kuwa duniani hamna askari mbaya, hata avute mihadarati. sheria ya...
Hata uwe na lugha ya malaika kwao pesa mbele, Tena wana onea sana wafiwa hasa wachaga wakiona coaster imewasha taa tu wanasema ipelekwe kituoni, kama sio bangi ni nini?
Kubaki tu hakutoshi kila mtu mwenye kuheshimu kazi ya Mzee huyu basi amtafutie zawadi ya aina yoyote kuthamini mchango wake, na itakuwa si vibaya kwenda kumsalimia akajua kuna watu wanao thamini mchango wake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.