Samahani Mkuu,ni kifaa kinachoonesha wapi samaki walipo umbali wa kwenda chini.Ina msaidia mvuvi kufanya kazi kwa uhakika na pia kupunguza gharama za mafuta na kuokoa muda.Sababu ukiwa na kifaa hichi kitakuelekeza mahali wapi samaki wanapatikana hivyo hutahitaji kuzungusha boti muda mrefu...
Humminbird HELIX 12 ($1000)
This is one of the units the Wired2fish staff has the most time with and can say without reservation that this is one of the best units on the market for anglers. Our team regularly gets images you would swear were better than the much higher end units. The...
Nikianza kwa kunukuu maneno ya Rais Kikwete kuwa zao la minazi limepatwa na " Ugojwa usiotibika kwa sasa ",nakuwataka wakulima wa zao la mnazi kulima kokoa kama zao mbadala .Wazo kama hili si geni ,kwani hapo nyuma wakulima huko Mwanza walitakiwa kubadilisha zao la pamba kwa kahawa .
Inaniwia...
Maoni toka: MTAZAMO HALISI: Athari ya Chadema kutomtambua rais
Kwa mara ya kwanza imejitokeza kwa bunge la Jamhuri ya Muungano kupata mshtuko mkubwa baada ya wabunge toka chama cha Chadema kususia hotuba ya rais. Hii imekuja baada ya chama hicho kutoridhishwa na mwenendo mzima wa uchaguzi...
Tanga ya Mjerumani, nimji wakizamani
kavutiwa mkoloni ,kukaa hapa nchini
wambali wamikoani,walikuja mashambani
sikwambii viwandani,napirika bandarini
unani tanga kunani,akuonae ni nani?
Umaarufu mwambao,kwenye bahari yahindi
umeandikwa ubao,kuwa siku hazigandi
elimu ndio funguo,idai...
Jamani ktk kusaidiana kwahilo,naombeni wana jamii munisaidie ktk hili la business plan and project.Ikiwa nina US$10000/- naomba munifahamishe nimradi gani nifanye ili uwezekuninyanyua.Kwamchango wenu wamawazo nauzoefu -naomba unitumie kwa e-mail:abcally@gmail.com -asanteni.
Mzee bei sijuu,nibei yakaida -sio sawa nazile zinazoibiwa mitaani maana hata laki 2 wanauza.Hizi zinapatikana kihalali na bei nipoa.
Laki6 ndio kiwango chalaptop.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.