Napakumbuka mahali hapo miaka ya 80s.. Nimemuona bibi fisi. Naukumbuka ile barabara ya lami, iliyochepuka kuipisha nyumba ya bibi fisi.... Tumepita mitaa hiyo sana tu tukitoka Igogo kwenda hospitali ya Bugando.... Nina hamu ya kupiga mitaa ile sijui ipoje baada ya kifo bi yule
Miaka ya 80 hivi niliwahi mshuhudia bibi huyo!! Nyumba yake ilikuwa mitaa ya jirani na maghorofa ya madaktari nadhani wa Bugando. Ukitokea Igogo kwenda Bugando barabara ya lami inachepuka kupisha nyumba ya bibi fisi. Habari za bibi fisi za kweli kabisa!!!
Mkuu salama!! Miye nipo Kimanzichana kijiji cha Mkwechembe ninamiliki heka 20 hivi. Hivi karibuni nimeagiza trekta Ford 7500 lipo nyumbani kwangu Kijichi Dar. Tangu umeandika ni muda na sasa nina imani una uzoefu wa kutosha kuhusu kilimona kazi za kulimia watu mashamba huko Kimanzichana na...
Mkuu nimevutika sana na tangazo lako!! Binafsi nilinunua trekta Feb 2015 na bahati mbaya hadi leo sijapata jembe wala trela. Kutokana na kukosa vifaa hivyo muhimu vya trekta nilifikia uamuzi wa kuliuza... Sasa ama niliuze kwa Tshs. 28m ama nikuoneni mnikopeshe zana za kazi niingie kibaruani!!
Habari zenu jamvini!!
Shamba linalokadiriwa kuwa na heka 20 lipo maeneo ya Kimanzichana wilaya ya Mkuranga mkoa wa Pwani.
Shamba limepandwa nanasi na mipapai, lakini pia lina michungwa. Kumejengwa nyumba nzuri ya bati ya vyumba viwili, banda kubwa la kufugia kuku wa kienyeji, banda dogo la mbwa...
Mkuu nishawaona hawa jamaa wenye mpunga wangu! wao wananiambia kuna fomu atatoa mwajiri wangu. Sasa kama mwajiri anadai si yatakuwa yaleyale!!
Nimefikiria nitulie hadi kesi ya msingi itakapokwisha mahakamani, ingawa inaniumiza sana hii kitu.
Hawa jamaa wanaotunza mpunga wetu wangekuwa wanajua...
Mkuu vipi, ushapata namna ya kukodisha matrekta. Nami nina trekta nimenunua feb mwaka huu ni Ford 7500 2WD. Kama ulipata sehemu ya kazi nijulishe mkuu, kwani naliangalia tu hapa home sijapata namna litarudisha hela yangu. Napatikana kwa whatsapp 0787519910.
Tafadhali mkuu....
Used trekta toka Denmark linauzwa.
Lipo kwenye hali nzuri hali nzuri halijafanya kazi hapa kwetu Tanzania.
Kwa anayelihitaji aniwhatsapp kwa 0787519910 nimtumie picha....
Shukurani wadau!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.