Mzee baba Dunia haiko flat, ni spherical. Yani mfano wa Yai, ukilielewa hilo basi hutobisha kuwa Nchi zilizopo far East kama Russia zipo karibu sana na North America (USA) kuliko hata na Nchi zilizopo Middle East
Tanzania tumeambiwa Covid-19 ni kaugonjwa kadogo sana, hivyo tuchape kazi, ndege ziruke, mipaka iko wazi yani business as usual. Tahadhari yetu ni kunawa mikono na kuendelea kumuomba Mungu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi kwanini mnapenda kwenda kupima mkiwa na majibu yenu kichwani? Kwanini usihisi kile kipimo cha awali kilichokumbia you are +ve ndio kilikuwa kibovu. Hivi unajua hata hivyo vipimo vinacheki nini? It's simply antigens-antibody reaction and not the virus in specific.
Huwa nawashauri watu...
Wabongo tuna wivu, husda na roho za kwanini sana. Mdada wa watu ni msomi wa level ya Masters, uwezo wake wa kupambanua mambo umetukuka kuzidi wengi tu wanao-mdiss, ana exposure ya kutosha ya njee na ndani ya nchi. Kaeni kimya
Rolence, Mimi sio mtaalamu wa mambo ya Afya though huwa nafatilia sana mambo ya afya hususa afya ya mwanadamu... Ninachofahamu kuna ARV's za aina tofauti, pale ambapo dawa fulani imemkataa mtu basi wataalamu huweza kushauri mgonjwa abadilishiwe dawa. Matarajio kwa mgonjwa ambaye tayari yupo...
Deception nilikutafuta kwenye uzi fulani bahati mbaya sana ulikuwa offline mda mrefu.
Swali langu lipo kwenye science ya vipimo ya HIV/AIDS. Maelezo yako kwenye thread mbali mbali juu ya HIV/AIDS umesema hizi rapid tests zote SD Bioline, Unigold, Determinant plus confirmatory tests za ELISA na...
Kwanini habari nzinto kama hii itangazwe Mbeya tena na mwakilishi wa wizara ya Afya na mwakilishi wa UN. Hii ilipaswa itangazwe globally na WHO wenyewe na waziri husika wa wizara ya afya nchini aite press conference na kutangaza habari hii hadharani kabisa.
kwanini waanze kuzisambza mkoa wa...
Kufungua demo account JP Market inachukua mda gani mpaka wao kukutumia zile log in details. Maana nimeji-register two times now ila sipati any feedback message kwa email box yangu.
Msaada please
Hahahah wa Mwanza sio wa mkoani? Subiri zamu itafika watakuja na huko nyanda za juu kusini. Endeleni kuji-mobilize mkifika at least 100 TMT team will come
Yap the business was very challenging on securing reliable markets, so I did it for about 1.5 yr then quit the business. My advice to you, don't rush onto it, first know who is going to be ur customer, supply good products, most importantly package them very well and neatly.
Wish you all the best.
Any update wakuu nn kinaendelea pande hizo!! Sababu ya hao askari kuja hapo ni nn? Kwani kuna mtu amekabwa jamani? Au na wao wamekuja kula pindi la FOREX?? Maana hii shule hata askari wetu wanaihitaji..maisha yao walio wengi mmmmhhh yanahuzunisha, ni vizuri nao wajifunze chanzo kingine cha...
Nini tofauti ya Cent-demo account, ECN-demo account, Standard-demo account?? Nilikuwa nafungua demo na FXTM broker nikakuta hizo options zote
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.