Naomba msaada wadau.
Nahitaji kusafiri na Laptop computers tano,nikitokea New york kuja Tanzania. Laptops ni kwa matumizi ya ofisi (NGO) inayofanya kazi zake jijini Mwanza.
Naomba kujua kama naweza tu kusafiri nazo kwenye bag,na kama kuna import permit yoyote inatakiwa, Mambo ya kodi, ama...
Hi Team
Does any one know whether there are any new changes/directives from TRA about VAT for Donations?
I have just imported a container with donated items from abroad, and it is stuck in Dar port pending VAT Clearance. My last container was not charged VAT because they were donations.
Is any...
Wadau nahitaji vifungashio vya vimiminika(chupa za plastic) za kwamfano maji,juice, maziwa n.k.Pamoja mashine ya ku-seal mifuniko yake.Tafadhali naomba mwongozo wadau
Nikupongeze tu Bw: Issa kwa dhamira uliyonayo, dhamira kwanza Mengine yatafuata. Ila kwa hakika sijafurahishwa na lugha uliyoitumia, kuna wakati watu hupimwa kwa kile wakitoacho toka kinywani mwao.Kuwaita wanachama wenzako, ndugu zako, mliochama kimoja kwamba ni vijiwatu, vinapitapita...
Huku Mwanza mwingine wa CCM kapokea kichapo baada ya wananchi kugundua siye aliyeshinda, hata hivyo police waliingilia kati na uapishwaji uliendelea huku akiwa na manundu, wananchi wameapa kumshughulikia mara atakaporudi mtaani
Si kuna hatua ya mwisho ambayo wananchi tutaamua? Sawa, hivi sasa mko kiwanja chenu cha nyumbani, mtakuja tu kwetu wananchi, tutawaonyesha ni nini chenye tunataka. Huku hatulali, siku 90 mnazozitumia huko kwa hila, sisi tutazitumia kuwafikia wananchi
Nape unazidi kuharibu, umesema hakuna hata aliyesukumwa, watu wamekuletea ushahidi, sasa unataka ushahidi wa maneno uliyoyasema. Kwa hiyo impliedly umekubali kwamba kweli kuna mtu alisukumwa walau, sasa wewe unadhani alisukumwa kwa sababu zipi? inaonekana unajua
Ki ukweli nilikua nmebakisha vipindi viwili tu vya kuskiliza radio clouds, Sports xtra na Kuperuzi na kudadis, kuanzia leo kitabaki sports xtra tu, magazeti nitawahi ya RFA.
Halafu nikakumbuka waliwahi kufungiwa kipindi flani hivi na serikali kwa madai wanahamasisha ushoga? bas nikafanya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.