You are very wrong hujui unacho kisema. Wewe unataka nchi ya kuomba omba. Hujui Magufuli kakausanya mahela kibao yaliyokuwa yanaibiwa kwenye madini. Think before posting
Ni hadi pale vyama vya upinzani vitapunguzwa huu utiriri wa vyama ambavyo vingine havina hata ofisi utawafikisha wapi? inatakiwa wapinzani waungane kwanza halafu wamchague mtu ambaye ni serious na anayeheshimika siyo mtu anaye ropoka ropoka. Wajipange tena mwaka 2020. Western countries...
Mwalimu Nyerere aliwahi kusema kuwa chagueni kiongozi mpinga Ruswa na udini na msipofanya hivyo wananchi watamtafuta mtu kutoka nje ya CCM, hivyo mwaka 2015 wakafanya kweli wakamchagua mtu mpinga Rushwa Magufuli na hatimaye yake mmeona. Magufuli mwaka 2015 alipata kura asimilia 58 lakini mwaka...
Unajua ulaya yote hata Vatican kwa Papa makanisa yamefungwa huko Saudi Arabia Misikiti imefungwa kwa ajili ya huu ugonjwa hatari sana unaua bila mtu kujua. Watu Ulaya na Amerika wamekufa wengi sana. tuombe Mungu ili wimbi lisifike Africa tutakwisha. Kwa maoni yangu Serikali inabidi ifunge...
Je huna uhakika wa kupona?.
COVID-19 ni hatari sana lakini kwenye joto vidudu vina kufa haraka. Hivyo Watanzania no panic lakini kula kwa mama nitilie au kula kwa kutumia mikono au kukaa kwenye msongamano ni hatari sana.
Ndugu zangu huu ugonjwa unaua wazee lakini wataalamu wanasema hivi vidudu kwenye joto kali kama la kwetu vinakufa mara moja wazungu wanasema in seconds. Tatizo liko ulaya maana huu ni msimu wa baridi na kwenye baridi hivi virusi vina dumu masaa 48 bila kufa ndio maana mwenye virusi akishika...
eliesikia,
asi sentensi yake hii "The new cases include three Italians, two Emiratis, two Sri Lankan, two Brits, two Indians, and one from Germany, one from South Africa, one from Tanzania, and one from Iran. " haimaanishi ni Mtanzania bali ni raia wa UAE aliyetokea Tanzania labda kikazi hivi...
Nilishawahi kusema hapo zamani kuwa hata siku moja kuwa sio jambo zuri kabisa kusimama juu ya kaburi ya mtu aliyekufa na kucheza ngoma as if wewe siku moja hutakufa nitafurahi siku moja kwenye hii jamii forum watu watakuwa wana heshimu maamuzi ya maharaja na kuhacha kubeza kubeza. This man is...
Naomba muelewe haki imetendeka na umeona watu walivyotengeneza kesi bila ushahidi wowote it is sad. Je, mnajua Jamal alimwambia hakimu kuwa bado anawadai TFF pesa nyingi tu Itabidi wamlipe otherwise atawapeleka Mahakamani
Hivi hizo pesa wanazo kopeshwa wanazilipa je? na kwani isiwadai wanafunzi waliosoma UDSM bure bila kulipa chochote hapa naongelea wanafunzi wote waliopitia chuo kikuu miaka ya zamani????
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.