Mnaosema Jk si mtu makini katika kuteua ujumbe wake mlitaka Membe Minister of foreign affairs asiende??? Au Magufuli?? Au nani alieko apo aachwe?
Hebu acheni ujinga kwenye still image utajuaje. Mtu kalala? Na inaingiaje kichwani mtu halalagi Bungeni aje kulala kwenye kikao kizito kama...
Kama gesi ya mtwara inaweza kuzalisha umeme wa kuendesha viwanda kwanini hivyo viwanda visijengwe mtwara? Au watu wa mtwara ni walemavu wasioweza kufanya kazi viwanda?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.