Wanaofahamu muziki hawabishani kuhusu nani mkali. Huyu jamaa hakunaga, ni Bongo Fleva wa pekee sana... Kuhusu mafanikio hiyo ni ishu nyingine, ni zaidi ya kuwa na kipaji pekee. Kuna mambo ya biashara, kujielewa, misimamo na kadhalika...
Afrika inahitaji Sera Mpya kuhusu vyombo vya habari vinavyojitia 'Vya Kimataifa'. Hatua kama hizi ni za kutudidimiza tu ingawa walami hufanya yaonekane kama ni maendeleo...
Sijafurahi kivile, swali la kinafiki la Waterloo hapo juu linajaribu kuadress hili tatizo kubwa sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.