Jamani nashindwa kurecover data kutoka kwenye hard disc ya laptop yangu. kila nikijaribu kufungua inasema DO YOU NEED TO FORMAT YOUR HARD DISK? naomben msaada kama kuna namna yeyote ya kupata data zangu.
natanguliza shukrani
Wala hujaambukiwa VVU, we kapime tu ujihakikishie. Ni kwa sababu tu ulikuwa na msimamo wa maisha yako ndipo hayo yakatokea.
Labda kama hukucheck gonorrhea fanya hivyo.
Kuwa jasiri na jamini zaidi.
Kwanza pole. Mimi naamini huna tatizo lolote, una kitu kinachoitwa "Papara ya ngono", ukitaka kufurahia hili tendo kwanza usiwaze sana hasa wakati ukiwa unafanya, hii itatoa mda mrefu wa kufanya bila kupz na wakati huohuo mwenzio nae atakuwa anakaribia kileleni. Tumia mda wako mara nyingi kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.