Hello wana JF;
Asanteni sana kwa comments zenu.Nilikuwa introduced hapa na rafiki yangu.
Na akaniambia hapa kuna watu wenye mtizamo chanya na wanasaidiana sana.But this has proved wrong based on the hatred messages am receiving.Najua kwa wanaume wengi mlioko upande huu,maana yake...
Mimi ni mwanamke,hard working,independent,loving,caring.Nimeajiriwa.Dini yangu Mkristo.Situmii pombe wala sivuti sigara.Elimu yangu ni ya Chuo kikuu.Umri wangu ni Miaka 30.Pia nina mtoto mmoja.Sijawahi kuolewa.Makazi kwa sasa ni DSM.
Mchumba ANAYETAFUTWA:
Awe Mkristo,mwanaume...
Nimetumia hii dawa kwa kweli ni dawa.Mara ya kwanza nilitaka kutapika,lakini sikutapika.Nina wiki sasa na mabadiliko nayaona,nilikuwa na tatizo la fungus miguuni,naona sasa wanakauka.Asante sana mkuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.