Walizoea kujibizana wenyewe kwenye mitandao wakajua ccm hakuna vijana wa dot com........kumbe average ccm ni wengi Mara mbili ya wabeba mabox wa chadema ulaya sema wako reserved and composed
Anapima rueful wa maji kwa mkono...hajui hata principle za conflicts resolution kuwa unangojea munkali upoe ndio angeenda kigoma....hapa mjue zitto bado hajaenda kuongea na wananchi wake
Sijaelewa jambo moja, zitto kakutwa na kosa akavuliwa uongozi sasa ni kosa lilelile lililopelekea avuliwe uongozi ndio linatakiwa sasa ajieleze kwa kuvuliwa uanachama au ni jipya...naona Kama adhabu mbili kwa kosa moja moja au kwa nini hawakumvua uanachama Kama walivyofanya kwa unaibu katibu...
Ni hatari sana sana kwa viongozi hasa wa kizazi kipya Kama saanane kutoa email na kusambaza kana kwamba ni za kweli. Siasa sio kudanganya ili kupata watu wa kukuunga mkono. Na wasomaji wanapaswa kuwa very critical na sio kuchukua kila ujinga unaosemwa na watu hapa. Ni jambo la ajabu sana eti...
Hapana natii sheria lakini hio sehemu ambayo wanasema nilionekana ni kwamba hata sikufika huko..nimetoka dar nikageuzia sehemu ya kwa Mathias na wao wanadai kuniona miembe saba ambako sikufika
Leo mida ya saa kumi nimeenda kibaha kwa mathias. Nikiwa narudi maeneo ya kibaha stand nikasimamishwa na trafiki. Wakasema kosa langu niliovertake maeneo ya miembe saba nikasimamishwa nikakimbia. Nikamwambia nitakuwa sio mie labda mtu mwingine kwa kuwa mie nimeishia kwa mathias na miembe saba ni...
Nimepokea kwa masikitiko makubwa haya yaliotokea...ni jambo ambalo linatia chagizo kwenye mbegu mbaya ya kuondoa umoja wa taifa letu.Tusaidiane watanzania wote kulaani jambo hili .....viongozi wetu pia mtusaidie kufata sheria za uchaguzi,kampeni za usiku mbona zimeshazuiwa wao usiku wanapita...
Hata kana tunachuki kubwa kiasi gani lakini tuwe na heshima walau kidogo kwa wazazi wetu na wawenzetu!!!kuanguka uchaguzi ni sehemu ya siasa!kuna rais wa marekani anaitwa lincorn if iam not misstaken alianguka mara kumi na nne chaguzi mbalimbali kabla ya kushinda nafasi ya urais.siasa usimdharau...
Jamani ni uamuzi gani wa serikali kaufanya?unajua maamuzi ni lazima yawekwe kwenye files,securals na memo.....sasa wapi hayo yalifanyika na ilikuwa wizara gani na ulijuaje?tujibu kwanza.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.