Hebu jamani nikumbusheni kidogo, walipo fele wanafunzi kidato cha nne Kuna kiongozi yeyete wa elimu, kuanzia waziri mpaka mwalimu alikamatwa na polisi?, japo kwa mahojiano tu.
Nakumbuka kuna wakati tulilazimishwa kusajili namba zetu za simu na vitisho juu!, tukaambiwa faida moja wapo ni ya kupambana na kadhia kama hizo lakini mpaka sasa sijelewa faida ya lile zoezi kwa sisi wananchi wa kawaida, vinginevyo tunaweza jenga imani wamba matapeli hao wana shirikiana na...
Jana majira ya mchana nilikuwa katika ofisi za manispaa ya Ilalahapo katika Sehemu ya kufanyia malipo, meya kijana alikuwa ameongozana na akina mama wawili staff wa benki NMB walikuwa ni kama wanafanya makabidhiano mbele ya waandishi wa habari ambao walikuwa wakipiga picha mfululizo kwakuwa...
Yeye mwenyewe alisema anataka watu wamfahamu zaidi,hivyo endelea kukifuatiia kuangalia picha zake labda kuna kitu utajifunza toka kwake na kumuelewa zaidi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.