aslaam aleikum wanajamii.
kwanza ninafuraha kubwa kujiunga na jamboforum.
nakubaliana na rasnungwi kuhusu muuafaka wa Zanzibar mimi si mwanasiasa au mwanachama wa chama chochote.Isipokua mimi ni mpenda amani na rakha za kuishi kwa usalama katika dunia hii.Kwamtizamo wangu naona sisi Wazanzibar...
wakati umefika .tanzania tuwachukulie hatua wote wanaovunja sheria za hii nchi yakhe.tusijali kama ni rais uu mbunge.kama uko ushahidi wa kweli ashughulikiwe tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.