11.Ukiulizwa nani aliyeimba wimbo wa 'Mapenzi Yanitesa,nikikufikiri wewe....sasa nashangaa....' kabla hata hujameza mate unaitikia 'Mbaraka Mwaruka Mwinshehe wa Moro Jazz'
Wasije wajanja wakawa wamempiga Bluetooth ya Zongo ili awe zezeta kwenye vikao vya bunge la bajeti?Na huyo mwanga anayesemekana alirudi tena ndani ya ukumbi wa bunge wakati milango ilisha fungwa alikuwa ana njama zipi?hebu jamiiforum mlioko Bungeni Dodoma tupasheni undani na ukweli wa sakata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.