Mkuu naelewa propaganda ya CCM. Ila hoja hapa ni hili swala la ukabila inadhihirishwa sasa rasmi na CDM yenyewe katika ngazi ya majimbo. CCM wakiitumia hii propaganda kwa wakati huu ambapo ipo wazi wazi kabisa huko majimboni, hakuna mtu ndani ya CDM atakayeinuka kutoa utetezi wa maan.
There is nothing personal kwenye hii hoja, yako majimbo mengi yalipatwa na hili jambo. Kuna ukaazi na ukabila, kuangalia ukabila kama kigezo sio sahihi kwa nchi yetu. Lakini kwa kutumia kigezo cha ukaazi CDM imeamua kujijengea taswira ya kikabila kwenye baadhi ya majimbo hapa nchini...
Sikupingi mkuu uko sahihi
Hoja hapa ni kwamba, kweli huyo aliyesimamishwa kwenye hilo jimbo kupambana na CCM wamezingatia nini considering the majority of voters wa jimbo husika?
Utaratibu wa kura za maoni CDM inabidi uangaliwe upya. Kuna majimbo huoni logic ya kuwaweka wagombea waliosimamishwa, zaidi sana ni ulafi tu na mwisho wa siku watu wa eneo husika watakiona chama kina agenda zake za siri. Watakikinai chama kwa mambo yao yakipuuzi.
Wasalaam wanaJF,
Leo ni siku ya Jumapili, naamini watu wengi mko katika mapumziko ya wiki. Huu ni muda muafaka katika wiki ambao tunaweza kuutumia kujadili mambo ya kisiasa yaliyotokea na yanayotokea nchini kwetu katika kipindi hiki cha uchaguzi.
Mosi, kama kichwa cha habari kinavyosema hapo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.