Dah,kuna watu wanaakili ndogo,yaani Slaa ni mtu makini?kweli huu ni mwisho wa dunia,Mtu makini anauza majimbo ya wabunge na kutimua timua viongozi kwa majungu.
Tunteneke,umeongea ukweli,DR slaa ni fisadi kama ccm wenzake,na yule mchumba wake ndio anamchanganya kabisa,Namshauri mchumba wa Slaa asome alama za wakati,anamuharibu slaa na sasa slaa hafai kabisa.
Hakuna hoja ya kumchafua zitto zaidi ya hoja nyepesi,sijui mnafiki,sijui mshirikina,sijui,pm 7,hamna hoja naona ni vioja tu hapa.Songa mbele zitto.wewe ni jembe hashwa.
bora kwa lipi? kama kwa kuibua hoja nzito za kitaifa na zenyekuleta matokeo,sijaonaga zaid ya kabwe zitto,subirini bunge la mwezi wa kwanza,munacheza na zitto nyie ile ni habari nyingine,Angalia bunge lililopita,hoja kama ya mkonge,kutokuwa na imani na waziri mkuu,na hii ya mabillioni ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.