wee umepita tu haujakaa wenye kukaa ndio sie tuliopo na mpaka watoto tumezaa acha kudanganya watu
eti wacomoro wanakula bila kunawa , hilo ni suala la mtu binafsi kama uliona mtu kafanya hivyo hilo ni suala lake binafsi inamaana tukisema watanzania wote malaya wee utaridhika kwasababu tu...
Nilichelewa kuona hii post umeongea mambo mengi ambayo umetukashif sisi wakomoro na inaonyesha huijui comoro tafadhali rekabisha post yako halafu tuje kukusaidia maana naona umeropokwa mambo mengi umeiponda comoro na ukaipônda zanzibar inaonekana una ubaguzi wa visiwa sisi ndio tunaokaa...
Neymar Agrees to Stay at Paris Saint-Germain After Barcelona Fail to Agree Deal to Sign Forward
Neymar's dream return to the Camp Nou appears to be dead, as talks between Paris Saint-Germain and Barcelona have broken down, putting an end to any opportunity of a move away from France for the...
psg wanataka 130m euro + rakitic + osmane debele + tolibo sasa huu nitawaona barca wajinga sana wachezaji 3 na hio hela kwa neyma mmoja yanini kun'gan'gania wakati grizou na king messi wapo rafihna pia yuko poa
dili la neymar ni ngumu japo kua yee mwenyewe chaguo lake kubwa ni kurudu barcelona laikini ngoma ngumu mwarabu hatomuacha tu aende hivi hivi lazima hela yake irudishwe na kwa timu ya barcelona hakuna uwendazimu wa kutoa euro 220mil kwa wingi 100mil na + wachezaji 2 na mwarabu hayupo tayari...
Wakomoro wote ni waislam kanisa lipo moja lilijengwa na wakoloni wafaransa wanaoabudia ni wageni tu mkubwa wa kanisa la comores ni raia wa Tanzania ambaye ni dokta wa hospital ya msaada wa kanisa anaitwa dr philipo raia wa tz huyo comores ni waislam ila tu wana mila na tamaduni zao na uzungu...
Meli itakuchukua siku 3 kufika moroni
Ndege masaa 2 tu nauli ni 320euro + 60 euro ya visa na tax to capital city moroni itakubidi uchukue taxi ya peke yako kwa vile huna mwenyeji ni euro 10 taxi ya kushare ni euro 1 from airport to moroni capital city. Hotel euro 20 par day hizo gharama ni...
Kabla hujaenda ulizia meli inaondoka mda gani dar to comores pakia mzigo mdogo ktk meli kabla siku 2 kuondoka kwa meli
Kata tiket ya ndege ondoka kabla meli kufika comores ukaisubiri meli kule ikifika tu uwepo ili utoe mzigo wako ukijisahau mzigo wako utaibiwa huko huko bandarini au . Kwa safar...
Majogoo hii mechi leo fanyeni mshinde ila mkifungwa mpira mtauona shubiri sisi Barcelona tuna hasira tukishirikiana na ma fans wa manyumbu united mtakoma.
Kama ni mlaji wa pweza utafaidi maana wao hawali pweza ila utajipikia mwenyeo
Wanapenda sana mziki mchukue kiba au blue au mbosso au chibu au mr Nice utapiga hela sana [emoji38][emoji38][emoji38]
Tatizo la comores
Restaurent (migahawa) hutopata vyakula kama vile Tanzania kariakoo
Vyakula vingi ni vitu vikavu muhogo wa kuchoma, ndizi za kukaanga, mashelisheli ya kukaanga na kuchoma. Mapapatiko ya kuku, mishikaki . nyama wenyewe inatoka brazil ishakaa mda sana kwenye friza
Ila kuna...
comores ni sehemu nzuri ya biashara ila uwe tu muangalifu
hata uwe na mamillion ya hela utatembea wakati unaotaka hakuna uhalifu
usumbufu uliopo ni utoaji wa mzigo bandarini proses ni nyingi ila kuna watu wanaweza kukusaidia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.