Huyo jamaa yako hata mimi huwa namuona kama kapagawa!!
Mara kaacha kushabikia Simba na Yanga, mara JF imeshuka hadhi, kiufupi jamaa hawezi kusimamia anacho kiamini.
Ningemuelewa kama angeacha kuchangia jukwaa la michezo, majukwaa mbona yapo mengi humu!!..
Kwahiyo bando umemnunulia wewe, sio?
Alafu si lazima mtu aajiliwe ndio awe na pesa, wengine ni wakulima na wengine wanamiliki makampuni yao wenyewe, au unadhani Bakhresa anaajira?
Tangu chama langu la Manchester united ipoteane nimekua sio mfuatiliaji wa michuano hiyo.
Ila kwahapo nawaombea mabaya Arsenal wakutane na kitu kizito.
Unatakiwa uwe mpuuzi ndio uamini kua Yesu ni mungu.
Pia unatakiwa uwe chizi ndio uwe mfuasi wa dini ya kikristo.
Kibwetere aliwachoma wapuuzi kibao kule uganda.
Kuna mwamba hapo Kenya amesababisha vifo vya machizi kibao na mpaka leo kesi ipo mahakamani.
Hapo juzi tu, Papa anawataka wendawazimu...
Acha upuuzi we kobe.
Babu yangu anaumri wa miaka 90+ na hajawahi kula mbwa.
Kama kula mbwa kunamuongezea umri wa kuishi mlaji, basi wahehe wasingekua wanakufa wakiwa vijana.
Nb. Hiyo habari ni chai tu.
Wewe kwa upande wako umechukua hatua gani kuhakikisha hao walio iba hiyo mihela wanafika kwenye vyombo vya sheria?
Watanzani tulio wengi tumechoshwa na siasa za maigizo ziliopo nchini kwetu, ndio maana tumehamishia mapenzi yetu kwenye soccer, hayo mengine tumewaachieni wenyewe wanasiasa...
Mukiitwa mbumbumbu munaanza kulia lia.
Habari haina chanzo wala nini.
Yani umetoka kukata gogo huko, hata hauja chamba, umekimbilia kupost.
Hii inchi kuna watu hata ukiwaita machizi bado unawasifia tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.