shy ni kweli ila kama mtu hawezi kuendesha mradi wa shule, basi asifanye. sio uungwana mtu kuwa diktekta hata katika mambo yenye maslahi na uhai wa mtu.
--------------------------------------------------------------------------------
Salaam Wakubwa humu jamvini
jamani kuna swala linanisumbua, hivyo naomba michango yenu kimawazo....
eti ni kwa nini baadhi ya shule binafsi nchini zinaendeshwa kama miradi ya kuku, kwani wamiliki wake...
Salaam Wakubwa humu jamvini
jamani kuna swala linanisumbua, hivyo naomba michango yenu kimawazo....
eti ni kwa nini baadhi ya shule binafsi nchini zinaendeshwa kama miradi ya kuku, kwani wamiliki wake wanashindwa kuwa na mipango endelevu na taratibu nzuri za kiuendeshaji. taratibu hizo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.