Watanzania maji safi tabu, umeme hakuna, watu wanakufa kwa magonjwa yanayotibika na yanayokingika, umaskini wa kupindukia, rushwa iliyokithiri-huyu mpuuzi anaona Jamii Forum ndio ya kuinyooshea kidole!? Shenzi type! X:-( Kwa utaratibu huu wa nchi kupinduliwa kwa kutumia mitandao kama hii na...
Yep, Wahindi kwao wana hii kitu "Caste", wengi ya wahindi tuanaowafahamu sisi East Africa ni wale wa "Upper Caste". Kila nchi ina matatizo yake bwana, nimeshangaa sana kuona no one mentioned the same happening, nenda mitaa ya Sinza, Manzese na kwingineko jijini Dar-Es-Salaam, kama sio niliona na...
Wana Jamii, huyu spika inabidi aangaliwe kwa makini sana. Nafikiri njia pekee ya kurudisha nguvu kwa wananchi ni kwa wananchi wenyewe kujishirikisha kikamili na masuala ya serikali. Wajinga wachache wanapojishughulisha na siasa halafu wajanja wengi wakawa hawana muda na siasa matokeo yake ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.