Yaani wewe unayesema you are among the best 5 hapa JF, hujui kilichotokea kwenye uchaguzi wa 2020 hapa Tz !!!. Sasa unachojisifia ni nini ikiwa kitu kikubwa kwa nchi kama uchaguzi mkuu na ambacho kilikuwa wazi kwa watu wengi wewe hujui hata nini kiliendelea ?!
Unasema sio swala la kisiasa halafu unaongea siasa tupu !
Unaonyesha Jaji inabidi aangalie "interest" za Jamhuri badala ya kusimamia haki.
By the way kama Jaji anawaonea huruma hao watu kukaa mahabusu alitakiwa atumie muda wake kufanyia kazi pingamizi la shitaka la ugaidi kwani kama...
Hapana huna uwezo huo, wala hakuna alie na uwezo huo.
Pamoja na hayo, unaweza kuonyesha (na unaruhusiwa) kutokuridhika na Jaji au hakimu na unaweza kutoa hoja zako kutokana na kutoridhika kwako na kuomba Jaji au hakimu ajitoe kwenye kesi yako. Jaji au hakimu naye ana uhuru wa kukubali kujitoa...
So ulitaka kuwe na kesi nyingine (ndani ya hii) ya kuthibitisha hizo tuhuma ndipo ajitoe ? Kwa utaratibu upi ?
By the way, ukisikiliza alivyoongea Mbowe wala hajatoa tuhuma zozote. Yeye amesema hana imani na Jaji (swala la kutokuwa na imani na mtu ni very personal na ni haki yake), pili...
Yaah, most likely huyo tutachukua jumla maana bro yupo serious. Actually bro mkubwa kabisa kaoa mchaga wa Rombo na probably ningemuuliza shemeji mkubwa angekuwa anajua hili jina. Hata hivyo bro mkubwa na shemeji bado hawana taarifa hizi.
Imeisha hiyo. Nilitaka nijue tu asili maana kwa kweli nilikuwa sijui pamoja na kwamba ninawafahamu wachaga na ninaishi nao lakini hilo jina la Rambau nilikuwa silijui kabisa....
Wakuu naomba kuuliza kwa mwenye ufahamu wa asili ya jina Rambau.
Watu wenye majina Rambau wanatoka mkoa gani hapa Tanzania na ni kabila gani ?
Shukrani.
Mkuu mimi pia ni mtaalamu katika eneo langu na kwa kweli ninaheshimu wataalamu waliobobea katika eneo husika. Wewe kama unavyosema ni mwanasayansi katika eneo linalohusiana na virusi so utakuwa na uelewa mpana katika eneo hilo. Kwa sisi wengine kuelewa issues katika eneo hilo ni ngumu hivyo...
Hilo linajulikana na itachukua muda kufika kwetu. Hata kama una hela ukaenda Marekani leo sidhani kama utafanikiwa kuchanjwa kwani priority ni raia wao na sasa hivi wanaochanjwa ni wazee na medical personnel tu.
Ila tunapokwenda nadhani hizi chanjo zitakuwa available either za bure au za...
Kwa nini niende Marekani? Gharama za kwenda huko utalipa wewe?
Una maana watanzania wote wanaotaka kuchanjwa hawana haki ya kupata huduma hiyo ndani ya nchi yao?
Ninachotaka ni uhuru wa kuchagua ndani ya nchi yangu.
Ni sawa na ndivyo inavyotakiwa. Hata huko wanakotoa chanjo sasa hivi hakuna anayelazimishwa.
Wewe na Rais Magufuli mna uhuru wa kukataa au kukubali chanjo. Mimi binafsi chanjo ikija hapa kwetu nitakubali kuchanjwa. Kinachotakiwa kwa serikali ni kuwapa wananchi uhuru wa kuamua kuchanjwa ama la...
Wala hujakosea.
Ni ujinga tu na kucream mambo ya ebola. Maiti iliyopo kwenye jeneza isiyokohoa kuongea kupiga chafya au kuhema na isiyoguswa na mtu inawezaje kuambukiza corona ?
China kuna maiti nyingi hazikuzikwa wakati tatizo lilipkuwa kuba zilihifadhiwa. Baadaye waliwapa ndugu zao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.