Hii ni hatari!
Wanachuo hawa wanatoa wapi pesa za kuchukulia fomu?
Wanatumia mikopo ya board(maana ndiyo chanzo chao kikuu cha mapato),
wanalipiwa na wazazi? (inakuwaje kwa walala hoi?)
uongozi wa chuo hiki sasa ni kwa wateule tu, wenye uwezo kifedha!
Wana Jamii!
Hivi kuna nafasi za kazi zilitangazwa na Hazina Mwezi huu wa nne kati ya Tarehhe 8 na 15?
Kuna mtu aliniambia kuna nafasi za Uhasibu zimetangazwa. Ni kweli?
Nisaidieni.
Hi! Mimi naweza kukuagizia ktoka Japan kwa bei ya Owner kwa Commission Kidogo. Sina Yard lakini nafanya Biashara kama Commssion Agent.
Itachukukua kama 2 Months tangu kulipa mpaka kufika Bongo. Nitakufanyia na Clearance pamoja na Registration.
Meli ya Tar 14 July ya NYK ina mzigo wa watu 3...
Hi! Mimi naweza kukuagizia ktoka Japan kwa bei ya Owner kwa Commission Kidogo. Sina Yard lakini nafanya Biashara kama Commssion Agent.
Itachukukua kama 2 Months tangu kulipa mpaka kufika Bongo. Nitakufanyia na Clearance pamoja na Registration.
Meli ya Tar 14 July ya NYK ina mzigo wa watu 3...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.