Mi sina uhakika na chochote, i believe everything is possible as long as i am still alive though i pray that i wont cheat kwenye ndoa yangu.
Pia hebu tuangalie angle ingine, naona maoni ya baadhi ya watu reason yao kubwa ya kutocheat ni ukimwi, vipi kama ukimwi usingekuwepo, ingekuwa tofauti...
siasa za bongo, yani zinachoosha mi nafikiri hakuna hata haja ya kupanga msitari mrefu siku nzima eti napiga kura ili kuwasaidia wezi wakaibe, ni mtazamo tu, hii bongo ustaarabu bado sana.
First lady, taratibu hata kama kaenda kubadilisha damu whats the big deal? halafu you dont have any right ya kujua anaumwa nini, ugonjwa ni private matter ya mgonjwa na daktari na ikibi sana basi familia. sas wewe unataka kujua ili iweje? we muombee tu apone
Huyu sofia simba mbona ana tabia za kishangingi hivi< mi nakuabaliana yeye ndo ajiuzulu coz alitakiwa awe na heshima japo kidogo kutokana na nafasi aliyonayo ila tabia za kitaarab taarab, uswahili bin mtupu ndo anaonyesha. Ndo maana wanawake tunadharaulika kila siku na kuonekana tuna upeo mdogo...
Jamani ndani ya hiyo UWT kuna majungu ya kufa mtu. Hawa wamama msiwaone wamezeeka hivyo, wana matatizo hawa, kweli vyeo hivi vinawafanya wawe kama wendawazimu.
Hao uhamiaji unakosema tukatoe taarifa ndo wanakopewa work permit hata office assistants sasa huoni kama ntakuwa napoeza muda wangu? Kama wanashindwa kusema no in justification kwamba tanzania hatujachoka kiasi cha kushindwa kuprovide office assistant, huoni nchi ina ugonjwa mkubwa sana?
Jamani hii ishu ni serious sana, tena nakushukuru sana we uliye anzisha mada hii, yaani napofanya kazi mimi robo tatu ya wafanyakazi wote ni wakenya.wabongo ni macleaners na housekeepers kasoro wachache wetu ambao hatufiki hata kumi. yaani hadi ofisi assistant wanawatoa kenya, working permit za...
Du hii nchi inakoelekea siko kabisa. ni kama kichwa cha mwendawazimu. Ila kwa mtaji huu na mtikila kwenda kuropoka haya huko tarime kwenye kampeni jimbo la tarime chadema walisahau, hii inatisha sana, yani imekaa vibaya.
Jamani naye si mtu tu kama walivyo wenfgine, naye ana belief zake kama binadamu mwingine yeyote, lakini je ndo kusema alikosa mtu wa kumfatia hayo mafuta hata aende mwenyewe usiku mkubwa au ni uzushi tu?
mh, am september in love with another sturbon type.......january, kazi ipo hapa naima
Ukiweka two sturbon people, you know what disaster that marriage will be
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.