Asante sana kwa ushauri, mimi mchele nalima mwenyewe mpunga nalimia Mbeya, hivo nakuwa nauza mchele kutoka Mbeya.
Pia, sijakuelewa kuhusu wenyeviti wa masoko. Kwamba wao watanisaidia kujua bei za mchele kwa soko husika,hao wenye viti wanakuwa na uzoefu wa kiasi hicho,of course its true...
tunataka watu ambao ni wanaume tena wanaojitambua kuwa ni wanaume...binafsi mwanaume ambae hajitambue na kujua nafasi yake huwa naona kama analazimisha kuwa nafasi ya mdada ni kama hakuridhika kuzaliwa mwanaume vile!!!sasa wewe unaringa...huo ni uanaume kweli jamann??
issue sio utaifa ni...
Nimekuwa nikikutana na wanaume ambao hawana heshima kwa wanawake hata umnyenyekee vipi..
na sio hivo tu bora basi hata kitandani awe vizuri hajui kitu,
Ila dharau na jeuri vimemjaa hana heshima kwa wanawake..
Maringo utadhani mwanamke,unamtumia msg hajibu,simu hapokei,..mimi nikadhani ndio...
Dears wana JF
Naomba ushauri kwenu nataka kufungua duka la mchele na nafaka zote kwa ujumla na vyakula mbalimbali,ni wapi ambako nnaweza nikapata frame ambako biashara hiyo itatoka vizuri,yani kuna uhitaji sana na ununuzi wa hizon bidhaa?
Mchango wenu ni mafanikio yangu.
Eneo ni Dar es...
Habari wana JF
Mimi nimepigiwa simu jana na hawa watu interview ipo jumatano posta house opposite na wizara ya mambo ya ndani ,naomba kuuliza kama kuna yoyote kaitwa au kama kuna yoyote ana information zozote, niliapply last year november accountant and admnista officer
Please wana JF, kuna kipindi nimri walitoa nafasi za kazi naona kimya hata sijajua mchakato uliendaje,kama kuna yoyote anafahamu naomba unisaidie kujua.
duhh!!!!kuna watucomments zao zinaonyesha ni watata sana hasa watakapokuwa na wakwe zao hasa wakwe wa kike..........hivi unapomwambia mtu awahi kuolewa watoto watamwita bibi au babu akiolewa na ukute hazai si utamuwekea sumu wewe unaejifanya mungu mtu huku duniani???????ndoa ni baraka hakuna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.