inanisikitisha sana voda mnatuibia sana jaman watu milioni moja wakiibiwa mia mbili tu jaman ni sawa na Tsh 200,000,000. Jaman voda mnapiga zaidi ya ESCROW
Katika hali ya masikitiko nilikuwa nasikia tu kutoka kwa watumiaji wenzangu kwamba mtandao wa voda umekuwa mtandao usiojali wateja wake na unaendelea kuwanyonya kwa kuwaibia japo vivocha vidogo ambavyo wateja wao wanaviweka.
Binafsi nimekumbana na hilo pale nilipokuwa na shilingi elfu moja na...
bethlehem hebu tambua sheria ziliwekwa ili zifuatwe km alikua aanze mzee wa kaya km sheri au utaratibu ulivyosema swala la dharura wajumbe wangejuzwa tu hizo ni rafu tulizokwisha zoea na unaingiza jambo la kalenga kwenye jambo muhimu linaloongelea mstakabali wa taifa cyo poah pengine hata...
Katika hali isiyotarajiwa na wengi Wabunge wa Bunge maalum la katiba wamezomea jioni yaleo na kusababisha bunge maalumu la katiba kuhairishwa pale aliyekuwa Mwenyekiti wa ukusanyaji wa maoni ya wananchi jaji Warioba kufika jioni ya leo nakutaka kuwasilisha rasimu ya katiba;iliyopelekea...
Katika hali isiyotarajiwa na Wabunge wengi na Watanzania kwa ujumla Mbunge wa Bunge la muungano pia mbunge wa Bunge maalum la Katiba AMINA ABDALLAH AMOUR; ametoa siri kwamba ameachika wakati akijinadi kwa wajumbe wa Bunge maalum wa Katiba akiomba ridhaa ya kuwa makamu mwenyekiti wa bunge la...
mchlmmnl2 Aibu hauoni unaleta post za kudanganya watanzania tumeshanyanyaswa masahiibu mengi leo unaleta stori zisizo na mashiko kwa taarifa yako na umma kwa ujumla;
=vipaza sauti na vijineno vingine ulivyovisema havihusiani na cdm makao makuu;bali ni wadau na wapenzi wa cdm katika...
kiukweli spika angelicha bunge limwage machozi tungeingia kwenye kitabu cha maajabu ilka nafurahi kuzaliwa Tanzania Twiga wanasafirishwa kwenye ndege Jamani TANZANIA YANGU nakuonea huruma
:A S cry::A S cry::A S cry::A S cry::A S cry:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.