Hizi Dini tumeletewa tu na wala hakuna Dini itakayompeleka mtu mbinguni, kwanza asilimia kubwa hatujachangua Dini tuliyopo tumefata Dini za wazazi wetu Mimi nikifika maeneo Kama hayo na nikaona salama yangu ni kubadili Dini Hata sijiulizi Mara mbili.
Mbadilishie kitasa Cha mlango, mizigo yake weka nje, potea Wiki Nzima, ukirud, unaingia kulala mida ishaenda. Mkodishie Askari aje amtoe. Mimi naona kinachokusumbua ni upole wako, hapo mlipofikia ni roho mbaya tu Ndio inatakiwa.
Kama mmekubaliana na mage kufunga ndoa fanyeni haraka, hicho Ndio kitamfanya mercy apunguze kukusumbua. Kwa Sasa anaamin anaweza kupindua meza maana hamjafunga ndoa. Funga ndoa fasta umsaidie na mercy aanze kumove on bila wewe
Mkuu, kule kwenye chumba Cha VAR Kuna marefa pia sio wataalam wa IT tu, na wapo Zaid ya watatu washirikishana kabla ya kutoa maamuzi hivyo refa sio lazma kwenda kujihahakikishia, Mara nyingi refa anaenda kuhakikisha tukio ambalo hakuliona Au marefa wa VAR wamesema tofauti na alivyoamua. Mfano...
Kama umegoma kurudi, sisi tunaondoka na "marudiano kutakua na mshangao....... Miracle will happen. Tusubiri Yanga afanye maajabu, tukikosa yatatokea Kwa Simba
Safi Sana mkuu, tusaidie na mawasiliano yako Kama itakupendeza, Kuna watoto wa kituo chetu Cha michezo walikuja majaribio huko na wakafaulu ila utapeli unataka kufanyika. Naomba mawasiliano Yako Maana siwezi kuweka Kila kitu wazi hapa
Miaka ya nyuma nilikua mkuu wa shule ya serikali yenye kidato Cha 1-6, Kuna kipindi alikuja mtoto wa Generali mmoja maarufu Sana, nadhan ni maarufu kuliko wastaafu wote wa jeshi, alipigana vita ya pili, mau mau na Ile ya Uganda. Cha kushangaza mtoto wake hakuwa na michango yote japo michango...
Mkuu ulikua magu, Karibu na ukumbi wa CCM? Niko sure Hukuwa makini Au hukuona gari zote Au nyingine hukujua Kama gari za walimu. Ile DCM ulijua Kwa kuwa imeandikwa Jina Nyamilama sek, zilikuwepo Subaru, kluger NK Tena Mpya kabisa namba EF
Wanawake wa design hiyo hawapendi kuambiwa ukweli hasa muda aliofanya kosa, hivyo jipange umwambie usiku mkiwa mmerelax umetoka kumgonga ama siku umemtoa out, usiongee Naye Kwa kufoka, ongea Naye Kwa upole na hekima. Pole sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.