bado na Kaka yake Edha Awadh au Overland carriers. Magari mengiiiiiiiiiii kumbe hawalipi kodi. Hapa kazi tu!. Wanafunga watu tu sasa zamu yao kufungwa.
Jamaa msaada wa vitabu hivyo mwenye navyo, copy yeyote ila Hardcopy itakua bora zaidi.
Shetani Msalabani na Matigari. Mwenye nacho naomba aeke namba yake iwe rahisi kumfikia au atumie yangu 0712 28 75 92, nashukuru.
Juzi CHADEMA walipolalamika kuhusu baloz wa China yeye akapga porojo zake paleee af Wizara ya Mambo ya Nje wakasema balozi wa China amekiuka mkataba, kwahyo mwambieni aendeleee kuwakusanya wale wa KIJANI na NJANO kwenye mikutano yao.
hawa c wanafanya mazoezi hawa jamani?!, kuna pcha moja inaonesha yale MASHANGINGI kwa nyuma yamepaki, au na mashangingi nayo ya KIVITA, au hz pcha hazkulenga kwenda sawa na HABARI?, kwamba wanaume KAZINI?.
sasa mbona mwandish Florika Liyomiti hataji majina ya hao wana CCM wanaomuunga mkono Kagame?, majina yako wapi ya hao wana mtandao wanaoutaka uraisi 2015?, makala yake ililenga nn?, kutufahamisha kwamba kuna wana CCm wanashirikiana na Kagame ama CHADEMA wanapewa msaada na Kagame?, ivi rais...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.